Alikuwa analalamika cdm wanachama wapya wanadhamiwa, kwake imekuwaje huko nccr!. Hebu 2one na huko kama atatangaz kugombea uraisi!. Hafai hata kuwa diwani kwa jinsi alivyo.
Kumbuka katiba mpya imetokana na shinikizo la CDM. Ww kaa kimya kama tz hauielewi cc 2naokaa tz ndo 2najua tz yetu ikoje. Pia namashaka na ww nn kilikuleta cdm na nn kimekupeleka ccm?. Jbu la haraka kama sio uelewa ndogo ktk masuala ya tz kwa ujumla basi ni njaa. Kama jbu ni ndio basi haufai...
Kumbuka katiba mpya imetokana na shinikizo la CDM. Ww kaa kimya kama tz hauielewi cc 2naokaa tz ndo 2najua tz yetu ikoje. Pia namashaka na ww nn kilikuleta cdm na nn kimekupeleka ccm?. Jbu la haraka kama sio uelewa ndogo ktk masuala ya tz kwa ujumla basi ni njaa.
Shivji ni binadamu kama wengine tukubali kuna sehemu anakosea, sawa mpiga kura anahaki ya kufungua kesi coz anamasilahi kwenye uchaguzi lkn suala hapa ni mwenendo wa uchaguzi uliadhiri vp haki ya mpiga kura!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.