Haya yote tuliyalea toka mwanzo...
Lakini kwa ujumla tusitegemee kitu cha maana kutoka pale bunge la katiba... Kwanza binafsi sikuona sababu ya mlundikano wa umati wote huo wa wajumbe ndani ya bunge la katiba. Wajumbe 100 wazalendo na wenye dhamira njema kwa wananchi wa Taifa hili walikuwa...
Hiki kweli ni CHAMA CHA MAPUMBAVU. (CCM)
Mheshimiwa PUMBAVU swali la nyongeza...? ha! ha! ha! MIMI NASEMA WAMWAGIWE TU. MAANATUMECHOKA...! Aghaaaaaaa.. . Liwalo na Liwe.
Naona MWIGULU anatekeleza plan B ya kujinasua na CCM yake. Jana katapika bungeni, leo katuma vijakazi wake kuja kupima upepo hapa JF. Nyie vijakazi wa mwigulu timizeni wajibu wenu ili mgange njaa. Ukweli unabakia pale pale kwamba CCM kupitia mwigulu inahusika na yaliyotokea,yanayoendelea kutokea...
Mbona unahangaika? Bila shaka wewe ni TASWIRA YENYE MAKENGEZA. Kwa hiyo wewe ulitaka uone mikono ya MWIGULU imeshika kamela ndo uamini? Halafu hujanawa hata uso unakuja kuwewesekea hapa JF. Kajipange upya la sivyo leo hulipwi.
Huenda ni hao hao polisi.Walikuwa wanatekeleza kauli ya MR.CROCODILE FACE aliyoitoa bungeni. Walihisi ni MNYIKA na wafuasi wa CHADEMA wanapanga kuiteka ikulu. Pole kwa mhanga.Watanzania tuwe makini sana mahali popote tuwapo na wakati wowote maana TANZANIA si salama tena.
NEPI YA CCM imezeeka...! Tunataka TANGANYIKA ijipambanue peke yake na kuiachia ZANZIBAR mamlaka kamili kama nchi. Halafu tuendeleze ujirani mwema na kuuenzi kama ulivyoasisiwa na wazee wetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.