Kwa jinsi serikali yenyewe ilivyo, hatuwezi kuiamini. Inawezekana JK kasaini lakini baada ya kuona ngoma ya mgomo wa madaktari huku serikali ikdai haina fedha ya kuwalipa madai yao, sasa inataka kumfanyia Mtoto wa Mkulima Pinda kama ilivyofanya kwa mtangulizi wake EL kwa kumtoa kafara. Pinda...
Picha za viongozi wa Chadema wilaya ya Arusha wakiwa pamoja na Kamanda wa polisi mkoa wa Arusha, Thobias Andengenye walipokwenda ofisini kwa kamanda huyo kutoa mkono wa pole wa Shilingi 200,000 kwa jeshi la polisi kutokana na tukio la mtu anayedaiwa kuwa jambazi sugu kumuuawa kwa kumpiga risasi...
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wilaya ya Arusha kimetoa ubani wa shilingi 200,000 kwa jeshi la polisi mkoani Arusha kwa ajili ya rambirambi ya kifo cha Askari polisi wa kitengo cha upelelezi, Kijanda Mwadu aliyeuawa kwa kupigwa risasi na mtu anayetuhumiwa kuwa jambazi sugu wakati...
Mie nadhani hoja hapa siyo mteule huyo kuwa shemeji, kaka, mjomba, binamu, baba wala ndugu wa nani. Hoja ni kwamba licha ya sifa zote alizonazo zinazomwezesha kushikilia nafasi hiyo, Je, anao uwezi kifirka, kimaadili na nguvu ya kimwili kuhimili mikiki na changamoto za kizazi hiki cha www.com...
Mie nadhani hoja siyo aliyeteuliwa anatoka kabila gani, shemeji, mkwe, mume, kaka, mjomba au ndugu wa nani. Hoja ni je, pamoja na sifa anao uwezo kifikra, kimaadili na nguvu kimwili wa kutekeleza majukumu yake katika kipindi hiki cha www.com.
Huu ndio mjadala tunaotakiwa kuwa nao. Mwanzoni mwa...
Picha ya 1
Mbunge wa Viti maalumu mkoa wa Arusha Joyce Mukya (Chadema), kushoto, akikabidhi zawadi kwa mwakilishi wa kituo cha watoto yatima cha Medical Daughters of Mary Saint Joseph Health Orphanage cha Kiseriani wilayani Arumeru, Happines Antony na mtoto wa kituo hicho, Magereth John wakati...
Mheshimiwa mbunge wa viti maalum mkoa wa Arusha, Joyce Mukya jana ameamua kusherehekea Sikukuu ya Christmas na Mwaka mpya kwa kutoa zawadi mbalimbali kwa vituo vitano vya kulea watoto yatima vilivyoko Manispaa ya Arusha na wilaya ya Arumeru.
Misaada iliyotolewa na mbunge huyo ambaye hii ni mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.