Kwa sababu nchi aina ajira na wewe unawaza tumbo lako tu,ngoja nikujibu
1:lissu ni mgonjwa na taifa linajua,ndo maana ni swala lakitaifa,wewe baba yako akiumwa anaishia kujia mjomba wako tu..na swali la hali ni ya kifamilia na madaktari,maana kama ana hitaji figo ata ukitangaziwa uwezi toa,kwa...
Madaktari Wa dodoma walikaa na mgonjwa chini ya masaa12 tu,so tu wapongeze kwa hilo,nairobi wako na mgonjwa siku 11 nao wanaitaji pongezi zaidi,,Wakati huu tuachane na habari zakupata maelezo,Ila tumuombee na kama uwezo upo tumchangie.#prayforlissu
Kwani lemutuz anataka kusema nini?
Tukio liko staged ?
Maana naona mara alivaa shati blue,hii inasaidia nini kwa sasa?
Mgonjwa yuko mahuti huti,kweli unawaza alivaa shati gani?
Dereva wala lissu wala mbowe hawajasema lolote kuhusu kumtuhumu watu unao jaribu kuwatetea?
Hivi vita yako na mange...
Kumekuwa na taarifa kwenye vyombo vya habari kuhusu matokeo ya uchunguzi kwenye sekta ya madini ya almasi kutoka kwenye kamati ya bunge nchini Tanzania, kuhusiana na hili,
Petra inathibitisha kuwa kifurushi cha almasi(carati 71,654.45) kutoka mgodi wa Williamson nchini Tanzania kimezuiwa...
Kwenu Police..
Napenda kutoa angalizo,mazingira rafiki yanazidi kupotea,Wananchi imani yao inazidi kupotea,matukio makubwa kama hili liliomkuta Mh Tundu Lissu,linaleta watu pamoja na kuwaangalia nyie walinzi wetu kama wakombozi.
Tukio hili sio kama matukio mengine,tukio hili linaweka tofauti...
Mzee wa watu kaongea maneno mawili tu,rais wenu kataka kulia,ooh mara polisi kama teniii,sisi huku tunasubiri augsti tumpe kenyata nchi yake,apandane na diktectra wenuuu..siasa za kitz zimekaa kichuro sanaa,atiii
KWANI TUME SEMA HATOE HUKUMU KWA BASHITE?
NATURAL JUSTICE HATA MWIZI UKIMKUTA NA MALI NYUMBANI KWAKO ANAIBA LAZIMA AHOJIWE..
Hiyo yako ni principal ya mchumia tumbo..
Habari zenu wadau.
Kunatoka na wimbi kubwa na mfumuko Wa habari mbali mbali tusisahau kudai vyeti,maana chanzo cha yote yanayo endelea sasa hivi ni baada kudai vyeti..
Nguvu kubwa inayo tumika kukinga hili lipite pamoja na kukingiana vifua,kupoteza Waziri,kuvamia radio,kushindana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.