Dr. Naomba msaada wako...
Mama yangu of 62 yrs old hapati usingizi. Aeza ingia kwa bed saa 4 usiku saa 5 akaamka ndo halali tena mpaka kesho. Anateseka mno...nini twaeza fanya?
Naomba kufahamu...
1.Kuku mmoja (layer)aliyeanza kutaga anapaswa kula chakula chenye ujazo gani?
2. Kuku kukosa madini ya calcium (kudonoana na kula mayai) nini kifanyike?
3. Kuku kuacha chakula (kutokula) nini sababu na solution
4. Idadi ya vyombo vya kulishia (feeders na drinkers)...
Inategemea na nyie wenyewe....
Mie wangu nabanana naye kila kona....ni mwili mmoja...so everywhere tuko pamoja....
Sasa wewe unataka nimuachr club aende na kimada????
Pole sana....
Niko ndani ya ndoa miaka zaidi ya 10 sasa.
Ndoa si uvumilivu.... Ndoa ni upendo...
Huwezi kuvumilia vipigo,matusi wala yanayofanana na hayo...unless na wewe unayafanya....
Maamuzi unayo wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.