Nikiwa sina hili wala lile mtoto wa Mjasiriamali napita vitongoji kadhaa ndani ya Wilaya ya Njombe Kata ya Yakobi. Nakutana na mzee mmoja akiwa amejichokea taabani kweli kweli. Mzee ameshikilia mkwaju wake! Bila ajizi nampatia mzee heshma yake! Mzee anaipokea heshma yake na ninamwambia...
pamoja na vifo vinavyochangiwa na stress na mazingira magumu tunayoishi vimezidi kuongezeka.
Tafadhali epuka;
i. Kukasirishwa kirahisi na mwenzi, watoto, marafiki, wafanyakazi wenzako, majirani, wasaidizi wa majumbani n.k.
ii. Epuka kujibu kwa ukali au kufoka mara kwa mara, jaribu kupunguza...
Ya kale Ni dhahabu ndiyo kitu ninachoweza kusema, Kwenye ndimi za waliotutangulia Basi Kuna hekima ndani yake.
Miaka iliyopita wazazi wetu walikuwa wao ndiyo wanapendekeza mtoto wao wa kiume Ni msichana gani amuoe, na walikuwa hawapendekezi tu Ila ukiona amependekezwa msichana Basi ujue...
1. MKE SHEREHE (party wife)
Hawa muda wote wanawaza sherehe na starehe tu, utawasikia kesho sendoff, birthday, graduation, mara kitchen party. Wako tayari kutumia hela ya chakula kwa ajili ya kununua viwalo, vipodozi, kutengeneza nywele, kuchangia sherehe.
2. MKE KAMUSI (dictionary wife)
Hawa...
Maombi kwa ajili ya watoto
Leo ni siku ya Maombi kwa watoto. Ungana nami kuwaombea watoto wetu wote bila kujali umri wao. Tafadhali chukua muda kusema maombi haya kwa ajili ya watoto wako: waite majina yao:
[emoji547]Ee, Mwenyezi Mungu, watoto wangu (wataje) ni zawadi na ushuhuda, na kwa hili...
Kuanzia leo tar.1 March 2024, vituo binafsi vya huduma za afya nchini vimekubaliana kutokupokea wateja wa NHIF. Maana yake ni kwamba wagonjwa wanaotibiwa kwa NHIF wako hatarini kukosa huduma. Kumbuka, takwimu zinaonesha zaidi ya 80% ya wagonjwa mahospitalini ni wanachama wa NHIF. Ni chini ya 20%...
Vijana wawili ambao ni Bakari Ismail (21) na Shomari Kacheuka maarufu Babuu (22) wamefariki dunia huku vifo vyao vikigubikwa na utata kwakuwa mara ya mwisho December 27,2023 walichukuliwa kwa nguvu nyumbani kwao Vingunguti Jijini Dar es salaam na Watu waliojitambulisha kuwa ni Askari na kisha...
... [emoji599] | 𝗞𝗜𝗞𝗢𝗦𝗜 𝗕𝗢𝗥𝗔 (𝗖𝗔𝗙)
Kikosi bora cha wiki cha ligi ya mabingwa Africa na performance yao (Ratings).
◎ 8.2 - Memmich (GK) ›› Petro Atl [emoji1029]
◎ 8.2 - Yao Kouassi ›› Yanga [emoji1241]
◎ 7.9 - Coulibaly ›› ASEC [emoji1081]
◎ 8.1 - Mwamnyeto ›› Yanga [emoji1241]
◉ 8.8 - Pacome...
Sheria ya Mwanaume kumhudumia Mwanamke ifutwe. Sheria ya mke kuchukua mkopo kwa Jina la mumewe nayo ifutwe. Ni sheria zilizopitwa na wakati na zisizoendana na ulimwengu wa sasa.
Ni sheria kandamizi, zinazomkandamiza Mwanaume. Kwa zamani zilikuwa sheria nzuri lakini sio sasa. Zilikuwa nzuri kwa...
[emoji3520]TANZIA[emoji3520]
Ndg yetu Mustapha Nzogela, Mwanachama wa Yanga na mmoja wa waasisi wa mwanzo kabisa wa Tawi la Yanga Pamoja Mbezi, alifariki Kwa ajali ya Maji juzi ktk bonde la Mkwajuni akijaribu kupita na Noah yake bila kujua kama maji ni mengi na yanapita juu ya Barabara, mazishi...
1. Ni kwa mara ya kwanza nafasi ya Katibu mkuu wa chama inapiganiwa (Scramble) na makundi mbalimbali. Hapo kabla utamaduni huu haukuwepo, tulizoea mabadiliko yasiyo ya kimapambano jambo ambalo limeendelea kukipa chama chetu heshima na afya ya muunganiko kwa muda mrefu.
2. Kwa sasa Siri za Chama...
#KOPO_LA_CHOONI
Kopo la chooni likikutwa kwenye meza ya chakula ni kesi kubwa, kila mtu atatukana limefikaje pale.
Ila ukienda chooni usilikute kelele ni kubwa sana, lazima tutataka kujua nani alilitoa.
Kopo la chooni lina thamani chooni na siyo kwenye meza ya chakula.
Na binadamu ni...
Ukiingia katika tovuti ya Benki ya Dunia utaona Serikali ya Tanzania tarehe 22 September 2022 iliwasilisha na kuomba pesa ya mradi wa Mto msimbazi.
Mradi huo Benki ya Dunia (World Bank) uliusajiliwa kwa utambulisho wa namba P169425. Unaweza kutembelea na kuona. Mtasha hataki mambo ya gizani...
Ngoja niseme mapema yakija kuvunda niwakumbushe.
Kijana wangu Paulo, mimi ni mmoja ninaoamini una uwezo mkubwa wa uongozi na unaweza kufika mbali. Nilishaandika huko nyuma sifa zako.
Mimi sipendi mtu. Napenda matokeo ya kazi yake na tabia yake.
Naona walewale waliokuponza wewe na mwenzio...
Kelele ni nyingi na shahuku ni kubwa lakini maneno yangu ni machache;
[emoji419]Makonda hatakuwa na wakati mzuri wakati huu ambapo kundi la Msoga lina nguvu ndani ya CCM na Serikali. Kundi la Msoga ni kundi la Wazee wakongwe, wenye nguvu ndani ya CCM, na pia wenye majeraha waliyopatiwa wakati...
Huyu [emoji116] apewe maua yake [emoji7][emoji7], ya lazima kuisoma natafsiri kwa kifupi tu.
Mkutano wa Familia
Mama yetu alifanya kitu cha kustaajibisha na kusichotegemewa. Alitutumia ujumbe wa mkutano wa dharura wa familia nyumbani. Sote wanne tulifika, lakini mama hakutupokea kwa furaha...
For the Superstitious!!
Since 2013 all the teams that have won the UEFA Champions League had a Croatian player in their Squad.
[emoji1082]
2013
Bayern Munich - Mario Mandzukic
2014
Real Madrid - Luka Modric
2015
Barcelona- Ivan Rakitic
2016/2017/2018
Real Madrid - Luka Modric
2019...
[emoji966] Every winner of the African Footballer of the Year awards from 1970 till date:
2022: Sadio Mane | Senegal [emoji1211]
2019: Sadio Mane | Senegal [emoji1211]
2018: Mohamed Salah | Egypt [emoji1093]
2017: Mohamed Salah | Egypt [emoji1093]
2016: Riyad Mahrez | Algeria [emoji1026]...
SOMA KWA MAKINI
1. SIRI YA KWANZA
Tengeneza connection na watu usitengeneze urafiki, Iko siku marafiki uliowatengeneza watakugeuza Chakula Cha kula maana "kikulacho kinguoni kwako!", Siyo rahisi rafiki akakubali upate zaidi yake!
2. SIRI YA PILI
Usimwamini sana rafiki yako, kwa sababu huyo...
WEKA TABIA YA KUPIMA MARA KWA MARA[emoji116][emoji116]
1. Shinikizo la damu
2. Kiwango Cha damu Sukari/kisukari
3. Kiwango Cha lehemu/Cholesterol
PUNGUZA
1. Chumvi
2. Sukari
3. wanga
4. Maziwa
5. Vyakula vilivyosindikwa
6. Mafuta mengi
Tumia zaidi:
1. Mbogamboga
2. Nafaka
3. Maharage
4...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.