Hivi ni wewe ulianzisha uzi mahali fulani ukitaka tujadili hili suala bila kutua matusi, kejeli na maneno ya kufedhehesha wengine ? Unayofanya hapa ni nini?
Ushahidi wa kauli za kuudhi za FaizaFoxy ziko nyingi tu humu. Halafu anasema weka ushahidi!! Huna lolote wewe mama. Wengi humu wanakuita Jihadist kwa udini wako. Wengine tunaogopa hata kukutana na wewe uso kwa uso, maana tuna wasiwasi na uvumilivu wako kwa mtu wa dini tofauti na wewe.
Kauli zako na michango yako hapa JF ni ushahidi tosha. Comments za wengi humu zimekuwa zikikusihi uache udini. Wewe ni mtu hatari sana kwa mshikamano wetu kama Taifa. Huna kabisa audacity ya kuwasema wengine. ACHA UDINI.
Wewe mwenyewe huna ustarabu katika kutoa maoni yako. Una maneno ya dhihaka kwa wengine na ubaguzi wa waziwazi wa kidini. Wewe ni mdini sana. Sidhani kama una audacity ya kusahihisha wengine.
Wote wanaomsema vibaya Magufuli, kwenye nafsi zao wanajua JPM alikuwa jembe, shujaa, visionary, pragramatic na mzalendo wa kweli wa Tanzania. Japo hatunaye lakini Legacy yake haitakufa kamwe. Lala kwa amani Shujaa wetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.