kuna mtu kacomment dr muuza sura sio kweli anatumia njia mbali mbali kuelimisha umma wa wawatanzania ambao hawawezi kuwa nae ana kwa ana....pili ni kulelea uozo uliojaa kwa viongozi wetu na kamwe hatutaweza kukalia kimya uozo huu udsm imekosa mwelekeo
ngeleja tumemchoka siku nyingi mara ngapi anakuwa na kauli za ajabu ajab kuhusu umeme umesahau hata wanamagamba wenzie walishindwa kuvumilia uozo wake wakataa bajeti yake ilijaa madudu? Infact cjui anafanya nn
ukweli napenda ukweli niliungana nao kwenye hili la kupinga posho...lakini kama wamekuwa ndumilakuliwi wanaongea tofauti na wanatenda tofauti. Wamekuwa popo wanatuhadaa naomba kama kuna mbunge yoyote wa chadema aliongelee hili. Huu ni usaliti kuliko wa yule ambae hakuonyesha unafiki na kuchukua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.