suala hapa sio mawazo tofauti bali ni ule usaliti w kwenda kuchongea kwa wakoloni harakati za mwalimu za ukombozi wa taifa hili. lengo lake lilikuwa apewe cheo na wakoloni. yupo tayari kuuza utu wake ili mradi apate cheo tu. huyu angesikia kuwa devid cameruni anatoa vyeo basi angeenda kuomba...
Leo hii watu mnalalamika kuhusu wachaga na tabia zao. Amini nawaambieni tamaa za hawa jamaa hazijaanza leo au jana. Tangu enzi za mangi mareale alimsaliti mwalimu wakati wa kupigania uhuru. mwalimu akisema hivi yeye anakwenda kuchongea kwa wakoloni kiasi kwamba akafanya shughuli nzima ya...
Hospitali inayoongoza kwa kutumbua matumbo ya wanawake ni Agha Khan Dar. Wee mpeleke mjamzito pale sijui kasikia uchungu, ukirudi kesho unakuta washamtumbua. Hawacheleweshi.
BTW, kitabibu inasemekana mtoto anayezaliwa kwa CS ana advantage ya kuwa normal, akili...n.k kwani hakutani na ile...
Umetoka nyumbani kwako, umevaa kitopu kifupi na kimini kiko juu ya mapaja.
Umepanda daladala, ukisimama tabu, ukikaa tabu.
Maana ukisimama basi kile kitopu kinapanda juu angani...mambo yote njenje.
Ukikaa sasa ndo balaa...unatupiga picha abiria wenzio hadi tunapitilizwa vituo bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.