Karibia clinic yangu nitamfuta bure.
Tunawakumbusha watoto na wadogo zetu msiendeshwe na utandawazi. Ni aheri usemwe mshamba kuliko gharama za kuthibitishia jamii kuwa wewe ni msasa.
Mada zingine ni mapuuza. Wangelazimishwa kufunga kwa saa 24 zingeibuka hoja kwamba imani yao ni katili. Tuheshimu imani za watu mradi hazidhuru shughuli zetu.
Wao kufunga kwa masaa hayo ni imani yao kwanini ikukere na kuanzishia uzi wenye mrengo wa dhihaka ndani yake?
Unachosema sahihi kabisa. Kwangu waislamu wa Senegal ni watu exceptional. Nimefika pia. Hakuna waislamu wa kufananishwa nao. Wale watu wamepevuka mno. Ni waislamu wa tofauti na waislamu wa dunia nzima naweza kusema. Inapaswa waislamu wakajifunze kwa waislamu wa Senegal.
Kuna waislamu...
Mayele anashusha hadhi yake. Kuna hadhi ukifika unachunga kile unazungumza. Aachane na mashabiki acheze mpira. Mitandao inabeba kila aina ya takataka watu.
Nimewahi kupeleka msaada hapo. Nakumbuka unashuka Sinza Madukani. Unaenda uelekeo wa Namnani Hotel kama sijakosea.
Sidhani shutuma za uraia kama ni za kweli. Watanzania mnaogopa sana wageni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.