Search results

  1. T

    SoC02 Kukosekana kwa Ajira kwa Vijana Wengi Kumeibua Ajira Mpya kwa Waajiriwa

    Kuna Wimbi kubwa sana la Vijana mtaani wanaomaliza masomo yao katika Ngazi mbalimbali za Elimu lakini vijana hao wapo mtaani wakihaha na Kuwaza ni lini watapata Ajira Rasmi, Ilhali wapo Vijana ambao walichukua Uamuzi wa Kujiongeza na kuthubutu kujiajiri kutokana na kile walichokipata wakati...
  2. T

    SoC02 Unavyoweza kutumia mshahara wako kujikwamua kimaisha

    Wapo watu wanaowakejeli waajiriwa wanadai eti kama "Mtu asiye na Elimu anaweza kuosha Magari mtaani na akaweza kukuza kipato” kuna sababu gani ya kuishi Maisha magumu Kazini au Ofisini ? Upo Ukweli wa namna Fulani katika kauli hii kwakua wafanyakazi wengi wanaishi Maisha ya Ukata, kazi yao...
  3. T

    Ombi: Trafiki wabuni tochi kwa ajili ya kudhibiti bodaboda

    Hii ni biashara inayotafuta wapi biashara nyingine izalishe ni kheri kuzalishwe vifaa vya moto husika ambavyo vitakua na speed fulani husika kutokana na takwimu fulani za ajali basi nchi hii ipelekewe vifaa vyenye speed limit flan
  4. T

    Mbegu aliyotupa baba haileti Mavuno

    Hakuna Mkulima yoyote Duniani anayepanda mbegu fulani na kutegemea aje kuvuna Mabua, hivyo ndivyo ilivyo hata katika Maisha yetu ya leo, Mfano mzuri ni wale wote wanaoshiriki katika Uandikaji wa hizi stori za Mabadiliko, wanapanda Mawazo na Fikra mbalimbali zinazowazunguka katika Maisha yao...
  5. T

    SoC01 Elimu ya Fedha kwa vijana ndio siri ya Mafanikio

    Asilimia kubwa ya vijana waliokuwa katika mifumo rasmi ya Elimu hutumia takribani muda wa zaidi ya Miaka 17 kutumikia katika ngazi tofauti tofauti za elimu zao lakini ndio kundi kubwa la watu ambao wenye elimu ya vyeti lakini ubunifu na maarifa madogo katika kukabiliana na changamoto mbalimbali...
Back
Top Bottom