Sio wote tuliotoka kwenye familia masikini tupo hivyo,wapo wengi wanajitambua na wala hawana ulimbukeni wa vitu ila tatizo siku hz hakuna wanaume wenye mapenzi ya dhati.
Cha muhimu ni kukubali matokeo, jikubali halafu tulia wala usiwe na haraka ya kuingia kwenye mahusiano mapya. Jipe muda lkn pia furaha yako ndio iwe kipaumbele chako. Baada ya muda utasahau na utakuja kujiona hata mjinga kwa kumlilia mtu asie jua thamana yako.
Kwa hali ninayoiona huku vijijini,Nina hakika ngosha atapita na uchaguzi ujao iwe kwa nap la mkono or whatever. Huku vijijini jamaa bado anakubalika sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.