1. Mr Humphrey polepole, unadhani/unaamini 2/3 ilipatikana bila kuchakachua?
2. Mchakato uliharibikia wapi? kwenye sheria ya mabadiliko,uteuzi wa wajumbe au sehemu ipi?
Kwa kweli kigoma siasa wanaijua. Sijui nccr walifanyaje mpaka wakapata wabunge kasulu. Mbunge obama ni mwepese kisiasa, hajui siasa lakini anachojua ni kumwaga takrima hata kama imepigwa marufuku
TUSUMBUKIE MKOA MMOJA WENYE WATU Im+ wa nini?tunatafuta sifa ili iweje? KUANZIA KESHO WAZENJ WOTE WAINGIE TANGANYIKA KWA PASSPORT/VISA. NA WALIOPO BARA WAOMBE URAIA KWA GHARAMA NAFUU.
Survey niliyoifanya inaonyesha asilimia 90 ya wanawake waloolewa ni wepesi kutongoza. Wana mabwana zaidi ya wawili na hudanganywa kwa vitu vidogovidogo na ving'ang'anizi.
Mila na desturi zinachangia sana. Nimeoa kabila ambalo wanaamina ktk mafiga matatu ya ndoa. Mume wa ndoa, bwana wa gengeni na wa starehe.hata ukumtimizia kila kitu ndani lazima atatoka nje.
Pili kuna makabila ambayo uzinzi ni jambo la kawaida hivyo akitoka nje usishangae.
Kwa hakika mwanamke tangu alipolaaniwa na mungu kwa kumwambia"kwa uchungu utazaa na mwanaume atakutawala" amekuwa kwenye mapambano dhidi ya mwanaume siku zote. Mwanamke ana tamaa ya kumtawala mwanaume. Ndiyo maana 80% ya wanawake wote(wa kitanzania) huenda kwa sangoma
malawi wanategemea "us" na "uk" wawasaidie. Imeandikwa, amelaaniwa amtegemeaye binadamu mwenzake kuwa kinga yake. Ushindi kwa tz uko wazi, waoga kama hao watamshinda nani?. Show ya kagera wameisahau wanataka show ya peke yao
Tuwafundishe watoto wetu mafunzo yenye ukweli na si uwongo na vitisho. Watoto wengine wamezaliwa wakiwa jasiri. Ubishi kuwa ukikojolea quoran unageuka nyoka ulithibitika kuwa ni uwongo na vitisho vilivyojaa katika baadhi ya mafundisho. hasira haikuwa kukojolea kitabu bali ni kwa nini hakugeuka nyoka
Esther wasira ni next level, bulaya anaachwa mbali sana. Ilikuwa mara ya kwanza kumwona esther wasira lakini nilimkubali sana. Yamkini akiwa bungeni atakuwa kama au zaidi ya halima mdee,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.