kwa wale waliotazama taarifa ya habari star tv leo saa mbili usiku bodi wameeachia majina hayo,lakini ukiingia kwenye website yao bado hawajayaweka hivyo tusichoke kutembelea huko natumaini hadi kufikia kesho mchana watakuwa wameshaweka.
Smile ebu jichunguze je wewe ni mtu mwenye dharau katika mapenzi?unajua wanaume weng hawapendi mwanamke/msichana mwenye dharau,kama upo hinyo ujue ndo sababu kubwa ya kuachika,pia huwa unaijua nafasi yako katika uhusiano?pia ni mtu wa kurudiaruda kosa ambalo mpenzi wako huwa alipendi?kukosea ni...
ndugu yangu mapenzi ni sawa na katiba ya nchi yani ni mapana sana,hivyo usi judge kwa vitu vidogo kama hivyo badala yake chukua hatua katika kuimarisha uhusiano wako.
ebu kuwa kama binadamu mwenye utu,maana nimeona michango yako mingi ni ya kuvunja moyo na isiyo na msaada,kama jambo huna uwezo wa kuchangia ni bora ukakaa kimya utaonekana una busara,kuliko kuwa unawajibu wenzako pumba tu badala ya kuwapa mawazo ya kuwajenga.Hivi we hapo ulipo umefanikiwa kwa...
asante kwa wote mlioonyesha moyo wa kunisaidia,na kwa mlio toa kashfa badala ya msaada asanten pia,lakini kmbken dharau hazifai hamjui kwanini niliuliza hivyo,labda niwape jibu sina ufahamu na bei za suti na kwakuwa mmeonyesha kudharau kiwango cha pesa nilichotaja basi naomba mnitajie bei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.