Huyu mwehu Musiba ndio unamwita Mr Plight? Hakuna haja ya hiyo fasihi; hakuna chochote kitakachoharibika ukimwita Msiba au Musiba. Hiyo fasihi uliyotumia hutumika kuficha majina makubwa ya viongozi wakuu wa nchi.
Mkuu, unaishi nchi hii ya tanzania au umeteremka toka Mars kuja kula pasaka?
Vyama vya upinzani haviruhusiwi kukusanyika popote nchi hii kufanya kikao: kiwe cha ndani au hadhara; polisi wanaingilia.Ni juzi tu chadema walibuni kufanya kikao cha ndani kwenye ofisi za ubalozi na polisi ikafyata...
Kijuujuu huyo musiba ni mtu aliyekabiliwa mpaka sasa na hali ngumu ya maisha anatafuta upendeleo fulani serikalini.Huko kujikomba kwa staili anayofanya kumepitiliza!
No official ring-walk information has been provided as of yet but it is expected that Joshua and Parker will take to the ring no later than 10:30pm but perhaps earlier.(quoted from the telegraph)
Pambano ni kabla ya saa nne usiku leo 31/3/2018 saa za cardiff. Kwa kuwa cardiff iko masaa 2 nyuma...
Ukiangalia kwa makini sura ya huyu bwana inaonesha taswira ya kukubuhu kwenye ulevi wa kupindukia,(anakula vizuri lakini) na anavyoongea anatupia jicho kwa namna ya kutojiamini au kutokuwa na uhakika wa anachoongea.
Nimeishi tanzania miaka 55 ya maisha yangu na ninawafahamu sana watanzania walivyo mafundi wa kelele na vitendo 0. Hakuna kitakachofanyika hiyo tarehe, na utayari wa vyombo vya usalama unaofanywa kwa nguvu kubwa ni kupoteza tu muda.Nothing is gonna happen, it is easier said behind a keyboard...
Ubovu ni kwamba rais aliyeko madarakani iwapo anahisi kwamba kura zitamkataa atashirikiana na chama chake kufanya hila ya kuchakachua hizo kura ili aendelee kuwepo.
Aliyepo sasa hivi anafanya yote ayawezayo kufanya yeye na chama chake waabudiwe kama Mungu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.