Hii barabara ni nyembamba halafu foleni ikitokea panakua na shida maana wanaotokea mbagala wanaingilia na hii njia ya kurudi mjini nayo wanaiendea
Maana yake njia zote mbili ya kwenda mbande upande wa left na huu wa kurudi mbagala yaani left zote zinageuzwa kuwa barabara moja tu ya kurudi...
Kuna ajira ni lazima uombe kupitia ajira portal cha ajabu ukisign in kwa app yao inagoma hapo hapo ukisign up inaandika invalid email address na kila mtu hii inamkumba.
Kiujumla sahivi huwezi kuaccess ajira portal na hapo deadline ya maombi unakuta ni after few days.
Huu ni mkakati wa maksudi...
Pugu ni maarufu tokea uhuru na hata kipindi cha ukoloni ilikuwepo.
Lakini huu mji au hilo eneo halikui kabisa au kuendelea kama maeneo mengine ya Dar Es Sallam
Yaani Pugu ni ile ile ya siku zote hadi leo bado viwanja vipo Pugu nashindwa kuelewa ni kwanini Pugu haikui
Watu wako radhi waende...
Nina mimba sasa ni miezi 6 kaamua kunitelekeza[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]. Natamani hata ningetoa lakini ishakua kubwa
Nifanyeje maana nahisi kuchanganyikiwa yeye yupo busy tu na watu wengine na gym ukweli ni kuwa huyu mwanaume ni mchafu sana nimemvumilia sana lakini kaamua...
Hii nimeitoa mahali mimi nimeileta ilivyo[emoji1313][emoji1313][emoji1313]
*MUME WAKO AU MPENZI WAKO KAMA ANATEMBEA NA MASHOGA KWA SIRI UTAJUAJE?FANYA HIVI
Jana kuna dada kaomba talaka yake kisa tu alimfumania mume wake anafanya mapenzi na mwanaume mwezie yaani shoga!Ukiwa na mwanaume ni mtu wa...
Kidogo shule na hesabu ilinipiga chenga hii ni shilingi ngapi ya kitanzania inasomeka kama shilingi ngapi ya Kitanzania?
Tsh 16,652,246,906,926.83
Inasomekaje kwa maneno? Nimeshindwa kwa kweli
Wamama wa JF na wababa jamani hebu kaeni na mpate muda wa kuongea na watoto utajua mengi sana
Mimi mwanangu wa kiume ni mtundu anasoma darasa la 5 ana miaka 11 na mwingine wa kike aliyemfuatia anasoma darasa la 3
Lakini mimi watoto wangu huwa nawakagua kabisa
Huyu wa kiume huwa namkuza kiume...
Nipo Arusha yapata week ya pili kwa kazi zangu hizi za kuuza Unga wa lishe, nafaka na biashara ya kuleta Vitu huku
Namkuta mtoto wa binamu yangu wa kiume kamaliza chuo kwa ngazi ya cheti simuelewi elewi ndio naambiwa ni shoga na ana mashoga wenzake
Jioni moja kaja na marafiki zake wa kiume...
Jamani hivi wamama mnawezaje kumudu hawa wanaume wabinafsi? Yaan mwanaume asiyesikia uchungu au maumivu ambaye wewe kama mwanamke wake unayapitia
Mwanaume opportunitist tu,selfish tu, anajali tu maisha yake tu
Mwanaume ambaye ni muongo kwa asilimia 99
Kudanganya kupo ila sio huyu wangu aisee...
Oneni huyu kaka[emoji1313]Hivi mwanaume unavaaje vikaptula vya aina hii?Hii ni aibu kwa taifa wanaume wa dar hapa mlipofika sasa mnataka kufanana na sisi dada zenu au[emoji1313]ndo uvaaji gani huu jameni?
Huyu mkaka ni nani hapa mjini anafanya mishe gani maana huwa namuona akila bata kila mahala dunia mara Marekani mara ulaya mara Dubai mara anaendesha magari ya gharama sana
Anafanya mishe gani hapa mjini? Anakula bata sana duniani
Miaka michache ijayo sijui kama kutakuwa na wanaume hapa Dar! Nasema haya kwasababu mashoga wanaongezeka kwa kasi sana, ushoga umekuwa ni jambo la kawaida hapa Dar.
Sidhani kama kuna mtaa Dar ambao hauna mashoga, Mungu atunusu maana kwasasa mashoga wa sasa sio kama kipindi cha nyuma. Wa sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.