Heee bibi mfumuko wa bei umekushindwa kuzibiti, utaweza mambo mazito?Nahisi hata maamuzi hufanyi wewe, kiujumla uwezo wa kuongoza huna.Huo ndo ukweli ukubali ukatae, wanaokusifia wakusifiye mimi ni mwanamke mwenzio nakwambia tu bibi we uwezo huo huna!Karama ya kuongoza huna
Umeshindwa mfumuko...
Hii barabara ni nyembamba halafu foleni ikitokea panakua na shida maana wanaotokea mbagala wanaingilia na hii njia ya kurudi mjini nayo wanaiendea
Maana yake njia zote mbili ya kwenda mbande upande wa left na huu wa kurudi mbagala yaani left zote zinageuzwa kuwa barabara moja tu ya kurudi...
Kuna ajira ni lazima uombe kupitia ajira portal cha ajabu ukisign in kwa app yao inagoma hapo hapo ukisign up inaandika invalid email address na kila mtu hii inamkumba
Kiujumla sahivi huwezi kuaccess ajira portal na hapo deadline ya maombi unakuta ni after few days
Huu ni mkakati wa maksudi tu...
Kuna ajira ni lazima uombe kupitia ajira portal cha ajabu ukisign in kwa app yao inagoma hapo hapo ukisign up inaandika invalid email address na kila mtu hii inamkumba.
Kiujumla sahivi huwezi kuaccess ajira portal na hapo deadline ya maombi unakuta ni after few days.
Huu ni mkakati wa maksudi...
Pugu ni maarufu tokea uhuru na hata kipindi cha ukoloni ilikuwepo.
Lakini huu mji au hilo eneo halikui kabisa au kuendelea kama maeneo mengine ya Dar Es Sallam
Yaani Pugu ni ile ile ya siku zote hadi leo bado viwanja vipo Pugu nashindwa kuelewa ni kwanini Pugu haikui
Watu wako radhi waende...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.