Habari Zenu,
Kwa yeyote mwenye kufahamu process ya kufuatilia mafao ya marehemu aliyefanya kazi shirika la reli la East Africa anisaidie Tafadhali..
Ahsante.
Habari, mm ni mwanafunzi wa Chuo mwaka wa kawanza, natafuta chumba cha selfcontained Umeme na Maji yawepo. Sehemu iwe kati ya (Magomen,Jangwani,Kariakoo au Ilala) Budget around 70,000 - 150,000/-
Habari wanaJF, Nimetengeneza uzi huu ili kusaidia kurahisisha Biashara kati ya Mkulima na Mnunuzi. Kwa yeyote mwenye mazao au anahitaji mazao Basi Ukumbi ni wako!!!!
Habari wanaJF napenda kuwajulisha kuwa tunatoa huduma za Accounting services (VAT returns, Trial Balance, stocking) kwa makampuni au maduka ya watu binafsi. Kwa maelezo zaidi au maswali ni cheki PM au ni contact 0785-327979
Habar, naomben msaada wenu kwanini wakati nafanya jogging huwa napatwa na vichomi sehemu ya tumbo upande wa kulia au kushoto na kwenye kifua upande wa kulia tatizo ni nini???
Habari wanaJF natafuta mtaalamu wa Tally Accounting Package anifanyie connection, anitengeneze chart of accounts na nimuulize kuhusu some features. Naombeni mnisaidie.
Habar wanaJF, natafuta mtu au kampuni ambayo ninaweza ingia nayo ubia wa jenga residential building au commercial building nina plot maeneo ya Kariakoo kwa maelezo zaidi inbox me.
Habar wanaJF nahitaji fundi wa pikipiki aina ya Honda awe maeneo ya Kariakoo, posta, upanga au jangwani. Maana nataka niifanyie service pikipiki ya office. Ahsanten . Anayefahamu tafadhali nisaidie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.