Mwezio anaboresha biashara yake wewe unamuona hana afya ya akili wakati ametumia akili kumkamata bwege mmoja kama siyo zaidi ya mmoja[emoji23][emoji23][emoji23]
Akili kubwa hiyo
Pole sana mkuu, hapo kasema squre meter 400 na wapo baadhi hawaelewi ndio maana kafafanua hivyo. Kuna watu ukiwaambia squre meter 400 haelewi ni ukubwa gani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.