Wakuu natarajia kupata panel ya 150w, Battery 120ah na Charger Controller 15a, mahali ninakoenda kufunga umeme haujafika ila nyuma tayari ina wireling ya Tanesco, je wireling hiyo itafaa kwa matuminzi ya DC pekee?
Natumia Smart TV ambapo humo ndani kama nikitaka kufanya mirroring kuna teknolojia ya Intel®wireless display, ambapo unaweza kuunganisha devices nyingine kama Laptop, tablet, na smartphone: Kwa mujibu wa huduma hiyo unaweza kufanya mirroring kutoka kwa vifaa vyenye Intel widi kama laptop ama kwa...
Jamani wenye uelewa zaidi yangu naombeni kujua ikiwa hiyo satellite tajwa hapo juu Yaani Nilesat 201@7°w ambayo ina FTA za kutosha kuna ambaye anaipata kwa Tanzania, Ikiwa yupo aniambie aipata kwa ukubwa gani wa dish, Mimi nipo Iringa nahitaji majibu yenu!
Hii kitu inawezekana lakini acha nifanye research zaidi kwa worldwide lakini kwa Tanzania ni uhakika naomba kwa walio nje ya Tanzania watupie namba na jina la nchi waliko kisha mm nitawatumia sms nao watatupa mrejesho hapa ndipo sasa nitaanza kutoa mbinu za namna ya kukufanya utume sms popote...
Kuanzia kesho voda wataanza kutoa ofa mpya walioiiga toka tigo. Kwamba sasa utaweza kutumia bure intaneti kwa kiwango cha MB100 kuanzia saa 12 mpaka saa mbili asubuhi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.