Specification ya lenovo Laptop
Window 10 pro,
Processor core i5,
Hard disk,
Storage 300GB,
Ram 8GB
Hali yake ni imara na charger inadumu kwa masaa mengi nicheck 0624000771
Hii machine inapima mkojo maabara ni ya kisasa inatumia strips ambazo zimeundwa kwaajili ya hii machine ( strips za machine moja haziingiliani na machine nyingine kama manufacturers ni tofauti) inaprint majibu hapo hapo, hahitumii muda mwingi ukilinganisha na toleo la zamani. Ni nzuri na imara...
Hii machine inapima mkojo maabara ni ya kisasa inatumia strips ambazo zimeundwa kwaajili ya hii machine ( strips za machine moja haziingiliani na machine nyingine kama manufacturers ni tofauti) inaprint majibu hapo hapo, hahitumii muda mwingi ukilinganisha na toleo la zamani. Ni nzuri na imara...
Hii machine inapima mkojo maabara ni ya kisasa inatumia strips ambazo zimeundwa kwaajili ya hii machine (strips za machine moja haziingiliani na machine nyingine kama manufacturers ni tofauti) inaprint majibu hapo hapo, hahitumii muda mwingi ukilinganisha na toleo la zamani. Ni nzuri na imara...
Hii machine inapima mkojo maabara ni ya kisasa inatumia strips ambazo zimeundwa kwaajili ya hii machine ( strips za machine moja haziingiliani na machine nyingine kama manufacturers ni tofauti) inaprint majibu hapo hapo, hahitumii muda mwingi ukilinganisha na toleo la zamani. Ni nzuri na imara...
Hicho kifaa kitatengenezwa katika mfumo tofauti tofauti inaweza kutumia battery, solar au umeme kwahiyo mzazi atamnunuliwa mtoto wake kifaa hicho kutokana na chanzo cha umeme anachotumia kwake.
Tanzania ni nchi ambayo elimu yake bado ipo level fulani ya chini ambapo inahitajika jitihada za nguvu ili kuweza kupandisha hiyo level ya elimu iwe juu haswa katika shule za Serikali za msingi na sekondari.
Wazo langu ni kuunda kifaa muundo wa daftari, ambacho kitakuwa na kalamu, rula...
Ndugu au mtu wa karibu wa mgonjwa ataliriport hilo swala hospitali ambapo mgonjwa atapatiwa huduma halafu madktari wataingiza hizo taarifa za mgonjwa kwa mfumo kama unaotumika sasahivi...Kutumia dole gumba haimaanishi kama huna mkono ndo kadi haitatumika hapana bali inatatua changamoto la kukaa...
Ndugu au mtu wa karibu wa mgonjwa ataliriport hilo swala hospitali ambapo mgonjwa atapatiwa huduma halafu madktari wataingiza hizo taarifa za mgonjwa kwa mfumo kama unaotumika sasahivi...Kutumia dole gumba haimaanishi kama huna mkono ndo kadi haitatumika hapana bali inatatua changamoto la kukaa...
Inawezekana kuepuka swala la kadi mmoja kutumika na watu wengi, mashine moja inaboreshwa kuwekea system mbili kuscan kadi na kuscan dole gumba baada ya hapo kwenye kompyuta taarifa zako zitaonekana.
Kwa kipindi kirefu sasa katika sekta ya afya kunauhitaji wa maboresho mengi. Mimi kuna kero ambayo imenipelekea kuja na wazo hili.
Ukienda hospitali nyingi aidha za serikali (Government hospitals) au za binafsi (Private hospitals) pale mapokezi kwa watumiaji wa bima tunakaa sanaa kwenye foleni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.