Acheni porojoo....ester aliingia kwenye kura ya maoni ..kura zake hazikutoshaa..mnataka aachiwe tuu bila kufuata utaratibu wa chamaa...nenden ccm huko ndio mnapoachiana kwa kwa,kupeana milungulaa....
Kwanza kabisa heshima yako MH MTATIRO...nimemsikiliza kwa umakini sana mzee wetu BUTIKU na kijana POLE POLE,mimi sikujisumbua kwa maswali yote hayoo ila ni kwann siku zote maana nijuavyo mimi mtandao ndani ya CCM haujaanza leo au jana..mzeee BUTIKU angetakiwa aanzee kukemea tokea kipindi hicho...
Zito Kabwe katika kipindi cha 360 clouds anasema kwa mara ya kwanza wabunge wa upinzani wamefanya maamuzi sahihi kususia miswada ya gesi kupitishwa kwa hati ya dharura...
Kwa wabunge wengi wa ccm sishangai....kwenye bunge la katiba nilimsikia mbunge mmoja kutoka zanzibar kupitia ccm akimwambia Jussa hana mke mpk pale alipofikia...hiyoo sijashangaaa ni kawaidaaa......no matter nchi wameifikisha hapa ilipoo...
Hiv wengine bila ku post kituu huwa mnashindwa kupumua...huyoo ni mgombea wa ubunge viti maalum kupitia CCM mbeya..sasa inaingilianaje na Iringa kwa msigwa...
USHAURI:Kwa hatua uliyofikia Ludovick hutakiwi na huna hata hadhi ya kutoa ushauri kwa CDM iwe ni kwa nia njema au mbaya..ulishapoteza hiyo nafasi.Unachotakiwa kufanya nikukaa kimyaaa ili waliochagulia kuikomboa Tanzania wafanhivyo.
Naamin kuna sababu za msingi kumtoa na kwakua naiamin CDM naamin pia maamuzi yake..kuhusu wewe kutoka CDM sio mbaya maana wapo wanaoingia na kutoka na wametoka wenye majina na wenye wafuasi wengi tuu...
Ndio unatakiwa kujiulza zaidi ya hapo inakuaje mtu mwnye msimamo km Ally Kessy akashindwa kusimamia kauli yake ujue kuna jambo kubwa zaidi na usimfikirie Ummy ila nyuma yake kunaweza kua wapo zaidi yake...unapoamua kujiuliza unatakiwa uwe jasiri kujiulza yote hayo...just reminding you mkuu...
Rich Pol acha kuushangaza umati..unaposema wananchi wanaichukia ukawa unaongea wananchi gani??kama ni wakina Wasira,Sita,Nchemba na baadhi ya viongozi wa CCM sawa..ila ujue kua hata hao wanachama wa CCM baaadh wanaishangilia ukawa kila kukicha kwa kuyamulika yale ambayo wao wameshindwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.