Ujinga sawa, Utengano ni tatizo linalozidi kukua kwa kasi siku hadi siku. Ila binafsi naona kubwa zaidi ni kukosekana mapinduzi ya kifikra katika jamii yetu.
Mi naona asamehewe bure handsome pinda, hajui alitendalo. Bahati mbaya zaidi kwa handsome huyu ni msahaulifu kupita kiasi, sijui ni wingi wa majukumu au ni mtindio wa ubongo!? Nadhani someone is right 'wamekubaliana kutokukubaliana'
Khaa! Yaani kaondoka kweli? Kudadeki kama kawaida yake anasikilizia kwanza mabwege wake wajikanganye katika matamko yao mbalimbali yanayo sigana, halafu baaadaaaeeee.... ye anakuja kuibuka LIKE A HERO na kijitamko kisicho na mashiko hata kidogo kwa wenye mitazamo mipana na mipevu.
Nadhani unahitaji kitu kinachoitwa ELRAyaani Employment and Labor Relation Act ya mwaka 2004, ambayo ndio inatumika hadi sasa. Kimsingi sheria hii ni pana mno na ina sehemu zaidi ya kumi na sehemu ndogo ndogo nyingi sana. Sasa ugesema ni kipengele kipi hasa unahitaji kujua au kama ni sheria yote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.