πββοΈ HATUA YA 2 YA BIASHARA
βπΏ karibu msomaji baada ya kuangalia mbiniza kukufanya wewe uwe na wazo zuri la kibiashara naimani mpka sasa una uwezo wa kuwa na wazo zuri la kibiashara.
π½ Hatua ya pili ni kitafuta ujuzi wa biashara uliyo ichagua, kujifunza ni muhimu sana kuliko hata mtaji, make...
ONLY THOSE WHO DARE TO FAILURE GREATLY CAN NEVER ACHIEVE GREATLY
Look at successful people. On their path of success,vyou will find that many of them have faced big failures. Why? Because they had the courage, theyvhad the guts, and they dared to fail. You have got to pay the price of failure...
Funzo la siku ya leoππ½
Nataka Nifanye Biashara Unanishauri Nifanye Biashara gani inayolipaπ€·π½ββοΈπ€·π½ββοΈ Swali hilo ndilo swali linaloongoza kwa kuulizwa na watu wengi kuliko swali lolote lile. Mara Nyingi huwa nawajibu "HAKUNA"
Kuna kitu cha mwanzo kabla ya kitu BIASHARA.
Biashara ni Kitu cha...
Watu wengi wanajua wanachopaswa kufanya hapa duniani ili kubadilisha maisha yao na kugusa maisha ya watu wengine katika jamii,lakini changamoto kubwa wanashindwa kuanza kufanya chochote kwa hofu ambayo kimsingi haina mantiki yowote.
Hawa ni wale wenye shauku kubwa moyoni mwao kufanya jambo la...
Ni kweli sasa hiyo pesa inayo potea ni sawa na maarifa uliyo yapata baada ya kufeli kwahyo siku ukianzisha biashara tena huwez kukwama hapo.
Ukweli ni kwamba katika shule ya kawaida unaweza kusoma bila kutanguliza ada.
Lakini katika shule ya maisha lazima utangulize ada( hasara) ndo upate ujuze...
π¨βπ» ( POWER OF SETTING SPECIFIC GOAL)
Bado tumejikta katika mada yetu ya hatua za mafanikio kipengele cha KUJIWEKEA MALENGO MAALUM.
Swali : Hivi kuna mahusiano gani kati ya malengo na mafanikio?
βπΏ Ngoja nianze na mfano: Ujue binadamu anapo anza safari ya kitafuta maisha huwa hana tofauti...
HATUA ZA KUANZA BIASHARA
ποΈ Biashara ni kitu kizuri ila kinaweza kuwa kitu kibaya( itategemea na matokeo uyapatayo)
π€ Ukizngatia hatu muhimu 10 biashara itakuwa ni kitu kizuri kwako *.
1. Kuwa na wazo zuri la biashara*
π§ Jambo la kwanza ni kuwa na wazo la biashara ambalo litakufanya wewe...
πΉπΏ 4PILLARS OF BUSINESS( NGUZO 4 ZA BIASHARA)
π Leo naomba tuamke na hiiππ½ππ½: Takwimu za benki kuu ya dunia zinaonyesha kuwa watu walio na mafanikio makubwa sana ni wafanya Biashara.
Ukitaja Matajiri 1000 duniani wote ni wafanya Biasharaππ
π€ Tukubaliane nalo hilo.
π§ Ili kitu chochote...
π WAZO LA BIASHARA
Ukifatilia makala yangu iliyo zungumzia hatua za kuanza Biashara, hatu ya kwanza n kuwa na wazo la Biashara.
ππ½ππ½ Makala hiyo imezungumzia njia za kupata wazo zuri la kibiashara litakalo kulipa.
π± Leo nigusie kitu kimoja kimezama kiuchumi zaidi.
π€·ββοΈ Je unajua mbinu...
π£οΈ CHANGA MOTO ZA KUELEKEA KWENYE MAFANIKIO
βπΏ Kila mtu anaye ishi anahitaji kuwa na mafanikio kwa ghalama yoyote ile.
Wengi tumekuwa tukikosa kuyaendea malengo yetu ambayo n mafanikio kwa baadhi ya changamoto.
ππ Naomba ni bainishe baadhi ya changamoto ili uzijue na ukabiliane nazo.
1...
JAMBO 1 KTK PESA
βπΏ Leo naomba tugusie jambo dogo sana ktk pesa.
π§ Kinacho kufanya wewe kuwa Tajiri sio kiwango cha pesa ulicho nacho ila ni matumizi kwa kile unacho kipata.
π Mfano : Kama unapokea laki 3 kwa mwezi na ukatumia laki 2 na 80 na ukatunza elfu 20 M-pawa. Baada ya miezi sita...
β KWA NINI HUJAFANIKIWAβΌοΈ
π§ Kwanza tambua jambo 1 mungu hawezi kukutoa hapo ulipo mpka akupe elimu ya kule unapo taka kwenda ( kila elimu inalipiwa )
Mfano: Kama wahitaji kufanikiwa kibiashara lazima uwe na elimu ya kufanikiwa hapa ndo utakuta mtu anataka kuwa kama Fulani ktk biashara ila...
UWEZO WAKO
βπΏ SWALI KUU HIVI KWA NINI MO NA BAKHERSA WANAKUWA MATAJIRI WAO TU?
π§ MO na BAKHERSA ni binadamu kama sisi wana kila kitu tulicho nacho, walikuwa maskn kama sisi pengine mwanzo tuliwazidi uwezo lakin kwa nini saivi wanatuzidi?π( hapa kichwa kinauma).
βπΏ Ukimtizama Mo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.