Tell me about wonder souls .. yan mara utokewe na marehem anakufata au anakupa ujumbe , hapa huwa inakuwaje wakat anapaswa kuwa kwenye period ya kufutika kumbukumbu
volkswagen touareg 3.0 td1 v6 diesel
Wakuu poleni na majukumu, nataka kununua hii gari hivyo naomba ushauri wenu kwenye haya mambo.
1. Matumizi ya mafuta(inatumia lita ngap kwa km).
2. Upatikanaji wa vifaa vyake vya kufanyia service ( diesel filter na oil filter ) ikiwezekana na bei yake.
3...
ama kweli CDM imekufa , ama kweli Arusha Jiji ya Lema inaendelea kuporomoka. polen sana wana CDM kwa mpasuko unaoendelea ndani ya chama chenu
Ni vema mkakaa na kujitafakar upya. mana chama kuwa Ni Mali ya mtu mmoja nayo Ni moja ya changamoto zinazowafanya watu kuhamia CCM
heshima kwenu wadau
naomba kupata msaada Wa taarifa juu ya upatikanaji Wa spare parts za Suzuki Jimny. kama zinapatikana kirahisi au lah.
kuna jamaa nimemuuliza kasema nisinunue hiyo gari kwakuwa itanisumbua kwenye spea.
naomba ushauri wenu ili niweze kufanya maamuzi.
*asante*
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.