Kimsingi aliyeleta huu Uzi Anatola kumharibia mbise biashara. Mbise yeye ndio WA kwanza kuanzisha kitimoto BUSWELU center. Mbise yeye anajishuhulisha na kitimoto tuu. Na siyo supu . hapo kwa msukuma kuna majiko mawili .Jiko la kwanza ndio la kitimoto analoendesha mbise. Jiko la pill ndio la supu...
Niwale walionunua friza dukani kwake wakalipakia kwenye gari yao wakaondoka baada dakika chache wakarudi na kumuomba panjuani awahifazie wakarekebishe Gari lao kumbe walifungia mwizi ndani
wenyehali mbaya ndiyo kama huyu mwanajeshi ambaye wakati mwingine mahali pakulala nachakula ni bure mura !! kwanini musimchukue mtanzania wakawaida kutoka kijijini aliyejaa viraka munakimbilia wafanyakazi kwalengo la kuwa
ukitaka kuingia jeshi la uhamiaji ,polisi , magereza ni lazima uanzie jkt ukisha maliza mafunzo ya awali unaweza kubahatika kuajiriwa kwenye jieshi unalotaka
kwani wenyewe wanapeleka idadi ya nafasi wanaotakiwa kuajiriwa huko jkt
nyumba inauzwa ipo mwanza -ilemela wilayani -barabara ya bujingwa
ina vyumba 3 kimoja ni master ,sebule ,dining ,jiko na store
pia pana nyumba yenye frem 2 vyumba vikubwa vina faa kuweka biashara
ya jumla narejareja
bei millioni 60
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.