Search results

  1. K

    Yaliyonisikitisha kutoka kwa Ole Sendeka

    Watu kama Sendeka lazima wawepo duniani. Yaani watu wenye akili hawatajulikana kama hakuna wajinga
  2. K

    Tume ya Katiba Mpya, yenye Mapungufu Makubwa, yasiyoonekana Makubwa

    Wajumbe toka zanzibar (15) wote ni waislamu, wajumbe wengi toka Tanzania Bara ni Wakristo. HIvi kweli Zanzibar kuna wakristo wangapi??? mimi nadhani udini hapa haupo. Mimi ni Mkristo lakini hoja ya udini siioni. NInachoona mimi ni kumfanya Augustino Ramadhani kuwa Makama Mwenyekiti, hasa...
  3. K

    Zitto kweli ni wakati muafaka kutangaza hili?

    Naunga mkono hoja yako. Huyu Zitto, anaanza kututia mashaka
  4. K

    Kungu

    Nilikuwa zanzibar pale bububu nikaletewa kungu. Nikauliza za nini? "zalegeza macho ya akina dada ati". Nikauliza, "sasa nikila mie," "utalegeza ya kwako ati"
  5. K

    Migomo kuamuliwa na mahakama!!!!

    Serikali yetu juzi ilikimbilia mahakamani kupata uamuzi kwamba mgomo wa madaktari ulikuwa batili. Mimi naomba tafsiri sahihi ya mgomo kwa sababu mgomo niuonavyo mimi ni mapambano kati ya mdai na mtoaji wa haki. Ninapoamua kugoma ni kama kuingia vitani na sitegemei mtu yeyote au mamlaka yeyote...
  6. K

    Mzee Warioba kuongoza tume ya katiba!

    "mazee haya!!!???" au "wazee hawa"
  7. K

    Nini Faida ya Kuwa na Serikali ya Tanganyika?

    Hapo mwanzo palikuwepo na Serikali na Tanganyika. Pakawepo Serikali ya Zanzibar. Kisha wakaja wajanja wakatuambia tutafaidika sana tukiwa na Serikali ya Muungano wa nchi mbili tanganyika na Zanzibar. Lakini wakatuambia sisi watanganyika si kitu. Kitu ni Wazanzibari. Tukakubali tukaingizwa...
  8. K

    Hatimae posho zapigwa stop rasmi

    Kitu kikipigwa stop, wakati mwingine kinaashiria kwamba kilikwishaanza kuwepo. Hizi posho naona tayari watu wengine walikwisha kula. Nani anakagua matumizi ya fedha za Bunge?? Tuelezwe nani alikwisha kula, kwa idhini ya nani, na adhabu yake ni ipi????
  9. K

    Watanzania hawagomi!!!

    Ukiacha Wanavyuo, watanzania ni waoga wa kugoma. Nikumbusheni ni lini watanzania wamegoma na kushinikiza serikali yao ikubaliane nao. Fikiria ni serikali gani inapandisha bei ya umeme kwa asilimia 40, kama si kujua kwamba hakuna chochote kitakachotokea.:canada:
  10. K

    Serikali inapowakatili raia wake kodi za kuingiza magari: Nini kifanyike?

    Kuna hawa waheshimiwa wanaotaka kuipeleka Serikali mahakamani kudai kwamba kodi ya magari machakavu ni ya kibaguzi kwa vile iinabagua watu masikini dhidi ya matajiri. Ukinunua gari lililotumika miaka kumi au zaidi unalipia kodi kama asilimia 20. Ukinunua jipya hulilpi kodi hii. Mimi nawaunga...
  11. K

    Tatizo siyo watu wanaoishi "mabondeni" bali ni wale wanaoishi "magogoni"

    ukitoka nyumbani kwako ukaenda kulala barabarani kisha ukatafuta mtu kwa kulaumu eti kwa nini lori limekukanyaga lazima una matatizo
Back
Top Bottom