Kiongozi ni mtu yeyote anayechaguliwa au kuteuliwa na mtu au watu kwaajili ya kuwaongoza wengine katika misingi ya utawala bora na kuwasimamia wengine katika njia sahihi yenye kuleta mabadiliko chanya na maendeleo kwa jamii husika.
Katika dunia yetu viongozi wapo wa aina tofauti, wapo wale wa...
Tarehe 5 ya mwezi Juni kila mwaka dunia huadhimisha siku ya mazingira duniani, lengo kuu la kuadhimisha siku hii ni kufahamu kwa undani umuhimu wa kutunza na athari zinazotokana na uharibifu wa mazingira.
Kwanza kabisa mazingira ni jumla ya vitu vyote vinavyomzunguka binadamu au kiumbe hai...
Wahenga walisema elimu ni ufunguo wa maisha, ipo wazi na hilo halipingiki kwasababu ili mtu afanye mambo kwa weredi ni lazima awe na elimu au ujuzi wa kutosha kuhusu jambo analofanya.
Watu wengi katika jamii hasa za kiafrika hawajaipa kipaumbele elimu, jambo linalopelekea kufanya mambo tofauti...
Na Chu Joe
Leo nataka tuzungumze kuhusu umuhimu wa katiba mpya lakini kabla ya kuelezea kuzungumzia hilo ngoja nikueleze maana ya katiba ambayo ni mkusanyiko wa sheria mama inayoainisha misingi mikuu ya kisiasa na kuonyesha madaraka na majukumu ya serikali.
Baada ya kipindi kirefu kupita...
Na Chu Joe
Leo nataka tuzungumze kuhusu umuhimu wa katiba mpya lakini kabla ya kuelezea kuzungumzia hilo ngoja nikueleze maana ya katiba ambayo ni mkusanyiko wa sheria mama inayoainisha misingi mikuu ya kisiasa na kuonyesha madaraka na majukumu ya serikali.
Baada ya kipindi kirefu kupita...
Na Chu Joe
Habari za muda huu Watanzania wenzangu natumaini nyote mko salama, leo napanda jukwaani nikieleza kwa uchache mambo unayotakiwa kuyafanya kijana ili uweze kutimiza ndoto zako au malengo yako iwe ni katika biashara, kazi, nasomo, nk.
1. Muombe Mungu na umshirikishe unachotaka...
Na Chu Joe
Dunia ina mengi nayo mengi hayana maana, ni msemo ambao unatumika kwa muda mrefu hapa nchini kwetu, lakini kwasasa jambo linalosemwa kwa maneno mengi yasiyo na maana ni chanjo ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona.
Kila mtu amekuwa na lake la kusema iwe ni mtaani au katika...
Na Chu Joe
Habari za muda huu watanzania wenzangu natumaini nyote mko salama, leo napanda jukwaani nikieleza kwa uchache mambo unayotakiwa kuyafanya kijana ili uweze kutimiza ndoto zako au malengo yako iwe ni katika biashara, kazi, nasomo, nk.
1. Muombe Mungu na umshirikishe unachotaka...
Na Chu Joe
Asiyesikia la mkuu huvunjika guu ni methali tuliyoachiwa na wahenga ikimaanisha asiyefuata ushauri wa wakuu wake, mabaya humpata, hii inasadifu hali ya watanzania wengi kwasababu tumeacha kujikinga na virusi vya Corona wakati tunafahamu virusi hivyo ni hatari.
Wananchi wengi kwasasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.