Nilisikia linatumika kwenye vyombo vya habari, lakini hadi sasa nimejitahidi kujuwa
maana halisi ya hili neno lakini sikufanikiwa. Lakini nahisi Wazanzibar wanafahamu vizuri maana naona lilitumika sana na viongozi wa Zanzibar
Mkuu ndio maana nasema watu wengi hawazijui hizi gari. Wengi wamezoea kuziona Crown Athlete kwenye Car Yard za bongo hapa ambazo ni Crown Athelete za kawaida kabisa ambazo nyingi ni GRS-180 and GRS-182 zenye Engines za 4GR na 3GR. ambazo zina uwezo mdogo ukilinganisha tu na hata 1JZ-GTE...
Watu wengi bongo hapa ukiwaambia Crown Athlete wamezoea zile za 4Gr na 3Gr au zile za 2500cc na 3000cc ambazo ndio zimejazana kwenye ma yard humo.
Hii ninayo izungumzia hapa ni kinu cha 3500 cc, Gari ambazo watu wachache sana wanazo bongo hapa, maana ni gari ambazo kuzikuta yard ni Nadra sana...
Upo right mkuu, hiyo tunaita after turning au modifications.1JZ-GTE na 2JZ-GTE stock engines zote zina produce the same maximum power 280 HP, tofauti ni kwamba 2jz ina uwezo wa kufanyiwa modifications mpaka ikafikisha 500HP na zaidi, ambapo ni very expensive.
On the other side stock engine ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.