Search results

  1. Mulokozi GG

    SoC02 Yafanyike haya kuikomboa NHIF

    🙏🏾... Umejitahidi Mtaalamu na kura yangu umepata.
  2. Mulokozi GG

    Tafakari ya leo: Mpe muda

    Nyepesi kama inavyo onekana lakini subira ni nguzo muhimu sana katika huu Uumbaji...
  3. Mulokozi GG

    SoC01 Upendo ndani ya ufahamu

    Binadamu kama viumbe wengine duniani ni kiumbe ambaye msingi wa uwepo wake ni mabadiliko au ukuaji, zaidi ya viumbe wengine baadhi ya ukuaji wake lazima aufanye kwa hiyari yake. Ni katika kipengele cha uhiyari katika baadhi ya ukuaji alichonacho na alichopewa binadamu, ambacho endapo akikitumia...
  4. Mulokozi GG

    SoC01 Je, muda ni nini, na jinsi mtu anavyo weza kuwa huru na muda

    Ni ngumu na ilikuwa ngumu kuandika baadhi ya mawazo katika lugha ya kiswahili. Sababu maneno mengi ya kiswahili yanabeba maana zaidi ya moja katika lugha nyingine, pamoja na picha zilizo nyuma ya baadhi ya maneno kwenye jamii ndani ya akili za wanajamii. Kwa sababu kiswahili ndiyo lugha yetu na...
  5. Mulokozi GG

    SoC01 Je, muda ni nini, na jinsi mtu anavyo weza kuwa huru na muda

    Kwenye uzi huu wa mabadiliko nimetumia njia tofauti kidogo, kwani uzi huu hauja lenga kuibadilisha jamii moja kwa moja bali umelenga kubadisha au kuboresha kiunzi cha jamii(wewe msomaji), ili kiunzi cha jamii ndicho kiibadilishe jamii. Kwani moja ya zawadi na kazi kubwa mtu anayoweza kuifanya...
  6. Mulokozi GG

    SoC01 Serikali Kuu Punguzeni Kuwafanyia Kazi Wananchi

    Kilikuwa kipindi kigumu nilipo jua uhalisia kuwa ukikubali kuishi ni lazima ufanye kazi, na maendeleo ya mtu ni kinyume sawia na ubora wa juhudi zake katika kazi anazozifanya. Sababu hakuna aliye umba chochote duniani vyote vilivyopo vilikuwepo na vipo, hivyo ni lazima tujifunze jinsi ya...
  7. Mulokozi GG

    SoC01 Dunia katika uzani sawa

    🙏🏾🌳🌳...
  8. Mulokozi GG

    SoC01 Dunia katika uzani sawa

    Ukiuelewa vizuri Uzi huu, ombi langu upigie kura. Kura yako inaweza ikawa jiwe la msingi sana katika ujenzi wa hekaru la mabadiliko. 🙏🏾🌳🌳...
  9. Mulokozi GG

    SoC01 Dunia katika uzani sawa

    🙏🏾🌳🌳....
  10. Mulokozi GG

    SoC01 Dunia katika uzani sawa

    Sababu ya mipaka iliyo wekwa kama muongozo kwenye idadi ya maneno ya kutumia, nimejitahidi kuandika kwa ufupi bila kuathiri ujumbe kadiri nilivyo weza. Hivyo pale utakapoona hauja elewa vizuri, uliza nielezee vizuri zaidi (usihitimishe kutokana na uelewa/mtazamo wako). Au utakapo ona maelezo...
  11. Mulokozi GG

    SoC01 Dunia katika uzani sawa

    Utaratibu wowote duniani tunaoufuata binadamu katika kuhusiana, ni matokeo ya moja kwa moja au yasiyo ya moja kwa moja katika kutafuta njia zitakazo rahisisha uwepo wetu katika maisha yetu hapa duniani huku tukinufaika na kila kilichopo. Kwa kujua au kwa kutokujua watu wengi wamekuwa wakifuata...
  12. Mulokozi GG

    SoC01 Njia nyepesi ya kuuondoa umasikini

    Pengine hiyo inaweza kumsaidia aliye nayo kupata mboga mboga, lakini siyo kigezo cha msingi katika kuweka msingi bora kwa maendeleo ya jamii. Aliye na kadi ya aina yoyote na asiye na kadi ya aina yoyote sote ni wamoja tukiwa na uelewa mkubwa kiasi cha kutanguliza masilahi ya jamii/Taifa na...
  13. Mulokozi GG

    Binaadamu tu wamoja na umoja ndiyo Suluhu yetu

    Kiwango cha uzalendo/utu wa mtu ni kinyume sawia na kiasi anacho uelewa ubinaadamu wake. Mtu mwenye uelewa/mtazamo wa maisha kama sehemu ya kushindana, kula, kulala, kuwa na familia pamoja na mali nyingi mbele za watu wanao mzunguka ni vigumu sana kusimama imara kwa ajiri ya wengi, bila kujali...
  14. Mulokozi GG

    SoC01 Jamii yetu ni matokeo ya Elimu jamii yetu

    Tanzania na Afrika ukosefu wa ajira siyo tatizo hata kidogo, tatizo ni elimu na elimu siyo tatizo hata kidogo, tatizo ni aina ya elimu. Leo hii vijana wote wasio na ajira mtaani wakiajiliwa na mfumo wa elimu usipo badilishwa, ukaendelea kutoa wahitimu zaidi ya elfu hamsini vyuo vikuu kila...
  15. Mulokozi GG

    Akadi, genius aliyeubadilisha mfumo wa elimu Tanzania

    Tanzania na Afrika ukosefu wa ajira siyo tatizo, tatizo ni elimu na elimu siyo tatizo, tatizo ni aina ya elimu. Leo hii vijana wote wasio na ajira mtaani wakiajiliwa na mfumo wa elimu usipo badilishwa, ukaendelea kutoa wahitimu zaidi ya elfu hamsini vyuo vikuu kila mwaka. Haita chukua hata...
  16. Mulokozi GG

    SoC01 Njia nyepesi ya kuuondoa umasikini

    Unaweza ukajiuliza kama wengine wengi kuwa, je wanauchumi wetu hawaoni kuwa mfumo tunaoutumia sahivi una mapungufu mengi kiasi hiki...!? Jibu la hili swali na mengine mengi ya hivi ni jepesi saana. Mashuleni (formal education system) wanafunzi hawajifunzi kile wanacho taka au kile kitakacho...
  17. Mulokozi GG

    SoC01 Njia nyepesi ya kuuondoa umasikini

    Asante kwa nyongeza ya maoni yenye minofu kede kede. Imani yangu ni TUTAFIKA tu, uhuru na uwajibikaji kwa usawa ni haki ya kila aliye umbwa... 🙏🏾🌳🌳....
  18. Mulokozi GG

    SoC01 Njia nyepesi ya kuuondoa umasikini

    Shukurani saana... 🙏🏾🌳🌳....
  19. Mulokozi GG

    SoC01 Njia nyepesi ya kuuondoa umasikini

    Shukurani saana kwa kuwa na uwezo pamoja na ujasiri pia wa kusema hili. Naamini kila kilichopo ni matokeo ya tendo/kitu flani, hivo na sisi licha ya uchache, ugumu na giza linalo onekana kutanda mbele tusikate tamaa na kukubali kuishi kama watumwa/vibaraka ndani ya nchi/bara/dunia huru. Tuweke...
  20. Mulokozi GG

    SoC01 Njia nyepesi ya kuuondoa umasikini

    Asante saana, umeongeza kilicho bora saana. Licha ya udongo na uchache wa hatua tunazo piga kuelekea katika mifumo sahihi, tusikate tamaa tuendeleze juhudi za dhati katika kuelimishana na kutenda yaliyo sahihi kadiri tunavyo weza. Tusikubali kuendelea kurithishana matatizo na mifumo mibovu...
Back
Top Bottom