Mi nacheki Skysport news hapa Vardy akiwa na England ameshapanda Ndege kuelekea Ufaransa ktk michuano ua Euro na bado yeye binafsi hajaamua kuja arsenal au abaki lecester....ila ameonesha nia....Kwa hiyo hakuna deal bado may be bdae tunaweza sikia chochote.... Binasfi napenda Vardy aje safu ya...
Naomba kuwashauri hao Shama(Israel) Gwajima na Rapha(Ester) Gwajima kuwa.... Kwanza kusaidiwa sio lazima. Pili mtegemea cha nduguye Hufa maskini hivyo waamke sio wanabweteke tu kusuburi baba yao afufuke na kusubiri hizo peni na karatasi. Mchungaji ni binadamu sio Mungu hivyo ana mapungufu yake...
Mzee Slaa kachoka sana yaan Katika mazungumzo yote ya Tundu Lissu... yeye kajibu kuhusu Mashahara tu kwanin hajajibu kuhusu ushiriki wake kumleta Lowassa ndani ya Chadema?
Wewe mtoa mada ni mmoja ya hao mawakili au la? kwasababu hujasema ni mawakili gani ni lini wamesema. Naona umekurupuka na Title halafu maelezo yote yanaonekana ni mawazo yako.. Halafu kwa ushauri wako kwa viongozi kwamba watafute namna bora ya kumjibu Slaa kwa sasa sahau hilo endelea na shughuli...
Sasa nadha nikubaliane tu na Ukweli sifahamu maana ya neno Vigogo... kama Bashe, Serukamba na Kapuya nao ni Vigogo.... Hivi haya magazeti kama Mkakati yamesajiliwa kwa vigezo vip?
Uteuzi wa awali jimbo la vwawa;
1.Fanuel Mkisi kura 136
2.Steven Mwamengo kura 42
3.Solomoni Kibona kura 22
4.Endrew Bukuku kura 9
5.Fadhiri Shombe kura 8
6.Dickson Kibona kura 5
7.Jonathani Mwashilindi kura 5
8.Furaha Mwazembe kura 3
9.Gift Kalinga kura 1
10.Jerwa...
Yan unamaaniaha asije akafunguka kama Lowasa alipo mfungukia JK katika sakata la Richmond kwamba "lakin mzee mbona nilikushirikisha na ukanipa go ahead leo zigo lote unanianguahia mimi "...
Mulama umetoa ushauri kwa upendo sana ila sidhani kama watakuelewa.... wale walioenda kusoma hapo hapo UDOM wanazingatia haya na nina imani wamekerwa sana na na hili tamko... ila hao "wasomi-shinikizo" hakuna kitu hapo mkuu..
Wewe ndio bure kabisa.... mchafua hali ya hewa ni hao mafisadi unao walamba miguu. Kwenye suala la USOMI hutakiwa kupiga mayowe... kukmbuka kizuri kinajiuza kibaya kinajitembeza kama hao a.k.a wasomi wa UDOM wanavyojitembeza
Watanzania wala tusiumize vichwa na waha wana-CCM na UVCCM wa vyuoni wanaojijumuisha kwamba "wasomi" wa vyuo siku zote huwa hawajitambui wanapelekwa-pelekwa na viongozi wao eti kutoa tamko kama wasomi... Msomi sio mkurupukaji kijinga namna hiyo... na unaweza kufuatilia waliotoa hilo tamko...
Hiyo habari ya The Citizen ni ya tarehe 2 December 2014 lakin tarehe 10 December 2014 MCC wakikaa wakaamua kutokana na record ya Tanzania hela imetengwa tutapewa pale tu IKULU itakapo washughulikia wahusika wa ESCROW.... Hii nimeitoa katika website yao Press Release ya tarehe 10 December 2014...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.