Kupta msichana co issue... issue ni kubahave lyk a g/man!! Kuna wanaume wngne wana akil za kushikiwa.. yani mahsiano yke yana kuwa contrld na ndg na marafik...sasa huyo atadumu hta ktk ndoa yke!!!????
Wewe mimi nakufaham vizur.... eti anakuumiza!!!!!?????? How???Kwa hyo huku jf ndo umeona mahal pa kuja kuleta pumba zko?? Utabadili wanawke km nguo km usipobadil tabia yko...ww c ulikua na mke wa ndoa mkashindwana????!!!!! Ptuuuuuuuuhhh.
Wadau mimi nina tatzo la kujisikia kichef chef, nalegea na moyo kwenda mbio mara kwa mara.. nimepima vipimo vyote cna tatzo lolote!!! Sasa hiv takriban miez mi3 mfululizo nateka sn... plz naomben ushaur wenu... Asanten sn.
Jaman wadau mara nyingi nimekuwa nikiota jino limeng'ooka...mara nyingine naota meno yote mdomoni hayapo... mfano mzuri ni mchana wa leo, nlipokua nimejipumzisha nimeota eti jino langu limetoka,,, eti damu nying sn zikatoka.. baada ya muda jino lingine likaanza kutikisika...nashtuka najikuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.