Taarifa hii nimeipata kwa jamaa yangu,japo hajanipa sababu za kujiuzulu kwake,so kama kuna mtu ana habari kamili atumwagie hapa.
NAWASILISHA!!!
============
Kwa mujibu wa Bw. Kimolo, miongoni mwa sababu za kujiuzulu kwake ni pamoja na kitendo cha yeye kukashifiwa na baadhi ya wafanyibiashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.