Huyu Ni mtoto wa kada wa CCM.
Alisoma shule ya msingi Bugarama huko mkoani Kagera wilaya ya muleba,Kisha aliingia jesheni,akiwa huko alijiendeleza na maisha shule huko mkwawa SS mkoani Iringa,
Baba yake aliingia kwenye kura ya maoni kugombea udiwani kupitia CCM.
JAJI Ni mtumishi wa TISS...
Mwandishi alikuwa na hoja nzuri ila sema ameiwasilisha kea mihemko mikubwa ,kila shule ina kamati tatu 1.kamati ya manunuzi.
2.kamati ya mapokezi.
3.kamati ya utekelezaji mradi
Kila kamati inaundwa na walimu wa shule husika,akihusishwa mjumbe mmoja mwakilishi wa jamii.kamati hizo zinasimamia...
SSH alifeli kidato Cha nne,Kisha akaungaunga na kuwa sekretari katika ofisi ya umma,hivyo uwezo wake katika jukumu kubwa la nchi Ni mdogo Sana,yeye kila Siku anashinda barabarani huku ya nyumbani akipashwa habari Kama mpita njia.Huyu Hana uchungu wowote na Taifa letu,mpaka tunafika 2023 Taifa...
Huyu jaji Ni mzaliwa wa muleba kata ya Biirabo mkoani Kagera,Ni mtoto wa kada wa CCM na afisa mtendaji wa kijijji mstaafu,huyu elimu yake na uzoefu wake hakustahili kuwa jaji Bali Hawa Ni wale wateule wa JPM aliyewateua akiwa ndotoni,wrong citation Ni kosa kubwa kisheria na halipaswa...
Hii kesi haina msingi wowote serikali futeni,shahidi mmoja wapo Ni Afande jumanne ambaye kafukuzwa kazi kwa tuhuma za kumbambikizia mtu meno ya tembo.Aliyetaka kuuawa Ni Sabaya ambaye amefungwa miaka 30 kwa ujambazi was kutumia silaha.
Kilichopatikana huko wilayani MULEBA mkoani Kagera Ni zaidi ya kituko.
1.mkurugenzi mtendaji ndiyo msambazaji wa saruji.Kawaagiza watu watafute saruji ya kujengea msingi Kisha ya kumalizia atawauzia baada ya kuitoa kiwandani.
2.DC ndiyo muuzaji wa tofali kupitia SUMA JKT,eti kawaeleza wakuu wa...
Mimi Ninachojua wote Ni polisi,ukimaliza ushahidi wako njoo uchukue laini yangu ya tigo,na hapa itakuwa mwisho kutumia laini ya tigo.hata mama kijijini sharti Ni moja hakuna pesa itakayotumwa kwenye laini ya tigo.
Hawa majaji wameshindwa na wamesahau kukumbushana yaliyompata jaji KAPINGA JOSEPH,Huyu jaji Ni wale majaji walioteuliwa na yule tuliyemfukia ,Sasa yeye kafa katuachia Hawa washenzi duniani.
Kifo Cha mwendazake liwe funzo kwa wengine kwamba ukiwa dikteta mpumbavu na mjinga zawadi yako Ni hiyo.Baada ya mwenyekwenda kuondoka wajuzi mtueleze Ni kiongozi gani wa nchi ,chama na serikali anayeshiriki sturi ya bwana kwani huko ndiko Safari ya mzee ilihitimishwa .
Wakati unamlilia huyo pia usisahau kumlilia AZORY GWANDA aliyepatikana kinyama.
Usisahau kumlilia Been saa NANE ambaye huenda mwili wake ulikuwa Ni moja ya viroba vya bahari ya Hindi.
Usisahau kumlilia Simon kinguye ambaye alipotezwa pia huenda mwili wake ulikuwa sehemu ya miili ambayo mnyama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.