Search results

  1. M

    There is no free lunch. Why has Yoweri Museveni built a school for Tanzanians?

    Si shule ya kwnza kujengwa na RAIS M7 hapa nchini,amejenga nyinyi ikiwemo NYAILIGAMBA SS MKOANI KAGERA MULEBA
  2. M

    Kwenye kesi za jinai mtu anayesikilizwa kesi yake akiwa ndani ya magereza anapaswa asikilizwe zaidi

    Huyu Ni mtoto wa kada wa CCM. Alisoma shule ya msingi Bugarama huko mkoani Kagera wilaya ya muleba,Kisha aliingia jesheni,akiwa huko alijiendeleza na maisha shule huko mkwawa SS mkoani Iringa, Baba yake aliingia kwenye kura ya maoni kugombea udiwani kupitia CCM. JAJI Ni mtumishi wa TISS...
  3. M

    Mdude Nyagali: Kati ya mashahidi nane kesi ya Mbowe nimewatambua ni wale walioniteka na kunitesa

    Hawa ndiyo waliokuwa wanatumwa na yule muhuni wa chato tuliye mfukia.
  4. M

    Yanayoendelea kwenye ujenzi wa Shule na Zahanati wa pesa za mkopo wa IMF

    Mwandishi alikuwa na hoja nzuri ila sema ameiwasilisha kea mihemko mikubwa ,kila shule ina kamati tatu 1.kamati ya manunuzi. 2.kamati ya mapokezi. 3.kamati ya utekelezaji mradi Kila kamati inaundwa na walimu wa shule husika,akihusishwa mjumbe mmoja mwakilishi wa jamii.kamati hizo zinasimamia...
  5. M

    Ukate miti milioni mbili halafu umuombe Mungu akuletee mvua? Serious?

    Ardhi hiyo alizaliwa mtume wa ALLAH.
  6. M

    Mfumuko wa bei ni tishio kwa maisha ya Watanzania

    SSH alifeli kidato Cha nne,Kisha akaungaunga na kuwa sekretari katika ofisi ya umma,hivyo uwezo wake katika jukumu kubwa la nchi Ni mdogo Sana,yeye kila Siku anashinda barabarani huku ya nyumbani akipashwa habari Kama mpita njia.Huyu Hana uchungu wowote na Taifa letu,mpaka tunafika 2023 Taifa...
  7. M

    Yaliyojiri kesi ya Freeman Mbowe na wenzake, kesi imeahirishwa mpaka 16, Nov 2021

    Jaji zamani ilikuwa Ni heshima kubwa kuteuliwa lakini Hawa wa sasa Ni Vimeo.Haiwezekani kila shahidi lazima jaji apate pumziko
  8. M

    Kesi ya Mbowe: Jaji hana mamlaka na document yenye wrong citation. Court of Appeal ilishaonya mara nyingi

    Huyu jaji Ni mzaliwa wa muleba kata ya Biirabo mkoani Kagera,Ni mtoto wa kada wa CCM na afisa mtendaji wa kijijji mstaafu,huyu elimu yake na uzoefu wake hakustahili kuwa jaji Bali Hawa Ni wale wateule wa JPM aliyewateua akiwa ndotoni,wrong citation Ni kosa kubwa kisheria na halipaswa...
  9. M

    Kesi ya Mbowe: Namba A5340 kwanini imekuwa issue kubwa?

    Hii kesi haina msingi wowote serikali futeni,shahidi mmoja wapo Ni Afande jumanne ambaye kafukuzwa kazi kwa tuhuma za kumbambikizia mtu meno ya tembo.Aliyetaka kuuawa Ni Sabaya ambaye amefungwa miaka 30 kwa ujambazi was kutumia silaha.
  10. M

    Tamisemi kuweni makini na yanayoendelea kwenye mgawanyo fedha za ujenzi za kujengea Hospitali na Shule

    Kilichopatikana huko wilayani MULEBA mkoani Kagera Ni zaidi ya kituko. 1.mkurugenzi mtendaji ndiyo msambazaji wa saruji.Kawaagiza watu watafute saruji ya kujengea msingi Kisha ya kumalizia atawauzia baada ya kuitoa kiwandani. 2.DC ndiyo muuzaji wa tofali kupitia SUMA JKT,eti kawaeleza wakuu wa...
  11. M

    Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Mbowe na Wenzake: Shahidi Afred Kapala wa tiGO atoa Ushahidi, Kesi kuendelea, Nov 03, 2021

    Mimi Ninachojua wote Ni polisi,ukimaliza ushahidi wako njoo uchukue laini yangu ya tigo,na hapa itakuwa mwisho kutumia laini ya tigo.hata mama kijijini sharti Ni moja hakuna pesa itakayotumwa kwenye laini ya tigo.
  12. M

    Hii ni kazi inayopaswa kufanywa na Jaji au Mahakimu wa Mahakama ya Mwanzo?

    Hawa majaji wameshindwa na wamesahau kukumbushana yaliyompata jaji KAPINGA JOSEPH,Huyu jaji Ni wale majaji walioteuliwa na yule tuliyemfukia ,Sasa yeye kafa katuachia Hawa washenzi duniani.
  13. M

    Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

    Kifo Cha mwendazake liwe funzo kwa wengine kwamba ukiwa dikteta mpumbavu na mjinga zawadi yako Ni hiyo.Baada ya mwenyekwenda kuondoka wajuzi mtueleze Ni kiongozi gani wa nchi ,chama na serikali anayeshiriki sturi ya bwana kwani huko ndiko Safari ya mzee ilihitimishwa .
  14. M

    Ripoti aliyoiwasilisha shahidi Cpl. Hafidh ilitakiwa kuwasilishwa na Ofisi ya DCI

    Huyu jaji Ni kada wa CCM ,hata baba yake aligombea kura za maoni za CCM 2020 katika udiwani.hivyo mbowe yupo mbele ya mahasimu wake wa kisiasa.
  15. M

    Nimerejea kutazama 'Video' mbalimbali za Hayati Rais Dkt. Magufuli niseme tu Samahani kwa 'Kumkosoa' ila Asante Mungu kwa 'Kutuzawadia' Rais kama yeye

    Wakati unamlilia huyo pia usisahau kumlilia AZORY GWANDA aliyepatikana kinyama. Usisahau kumlilia Been saa NANE ambaye huenda mwili wake ulikuwa Ni moja ya viroba vya bahari ya Hindi. Usisahau kumlilia Simon kinguye ambaye alipotezwa pia huenda mwili wake ulikuwa sehemu ya miili ambayo mnyama...
Back
Top Bottom