Search results

  1. A

    Mshahara wa dakatari zanzibar

    Ni kweli kuwa mshahara wa medical doctor mwenye degree katika hospitali za serikali zanzibar ni 800k?
  2. A

    Je ni kozi zisizokuwa hazikosi ajira?

    Nimemaliza pcb 2022 nimepata division 1.8 phys C chem B na Bio C natafuta course ambayo nikimaliza tu chuo nipate ajira swali langu je ni kweli kuwa kozi za afya ni kozi ambazo watu wake hawakosi ajira kamwe pindi tu anapotoka chuoni (fresh graduate)
  3. A

    Ajira za afya

    Nimemaliza pcb 2022 nimepata division 1.8 phys C chem B na Bio C natafuta course ambayo nikimaliza tu chuo nipate ajira swali langu je ni kweli kuwa kozi za afya ni kozi ambazo watu wake hawakosi ajira kamwe pindi tu anapotoka chuoni (fresh graduate)
  4. A

    Mshahara wa mfamasia na medical laboratory science kwa gazi ya degree

    Wanajamii forum naomba kuulizia Ni kiwango gani cha Mshahara wa mfamasia na medical laboratory science kwa gazi ya degree kwa Zanzibar (s.m.z)
  5. A

    Kozi za degree zinanzo husiana na geography

    Naomba kupata outline za course za masomo yanayohusu Field ya geographia Mimi nikijana niliemaliza kidatu Cha sita 2022 combination ya CBG Nina penda Sana geography nanina ndoto za kusoma degree yenye kuhusu field yake chuo kikuu
  6. A

    Kwa Mara ya kwanza swali la topographical map interpretation halikuwa la lazima geography 1 kidato Cha sita

    Kwa Mara ya kwanza katika miaka yote ya utungaji wa mtihani wa geographia 1 kidato Cha sita 2022 swali la topographical map interpretation halikuwa la lazima badala yake swali la surveying and map making ndio lilikuwa lazma na kubeba ujumla wa alama 25 hii imeshutusha Sana watahaniwa wakati...
  7. A

    PCB 3.13 kuenda kusoma udaktari nje

    Nimemaliza kidato Cha sita nimepanga kusoma md uganda, Je, Kuna athari gani kwenda kusoma nje ya nchi bila no objection certificate ya tcu maana sijatimiza vigezo vya D tatu ya tcu na nimekosa chuo.hapa.nchini. Nimepata phy D chem D bioE 3.13
  8. A

    PCM kusoma sheria/political science

    Habar wakuu Mimi Ni mhitimu wa kidatu cha sita kutokana na maamuzi wa wazee nililazimishwa kusoma sayansi A level japo Mimi napenda zaidi arts nimehitimu katika tahasusi ya PCM na Nina ndoto za kusoma Sheria. Matokeo yangu Ni yafuatayo Gs C Phy C Chem C Adv maths B Div 1.8 Kuna wengi...
  9. A

    Degree za biashara kwa mtu wa Arts

    Ni degree gani za biashara anaweza kujiunga mtu wa HGL/HGK/HKL na combination zote zisizo na Basic applied math(BAM) A level?
  10. A

    Kubadilisha grades

    Naomba kuuliza Nina rafiki amemaliza kidatu cha nne Kenya (Kcse) anataka kufanya conversation ya grade zake kwa mfumo wa necta je afanye nn?
  11. A

    Kwa matokeo haya naweza kusoma Medicine?

    Kwa matokeo haya je naweza kupata medicine hata vyuo vya private ukizingatia pia competition Physics D Chemistry C Biology D Bam C
Back
Top Bottom