Mimi nadhani wewe ndio usoelewa! Sasa hivi kuna baadhi ya BAnks ambazo zimeingia mkataba na TRA kukusanya TAxes , Domestic REvenues na d Comm for Customs , sasa hebu nikuulize, hiyo Bil 10, BAnks zikisema hazina na more obvious kuna Banks zitashindwa unadhani NINI KITATOKEA? Kodi itakusanya kama...
Hivi ndio vitu masikio yanataka kusikia, Nimefurahi angalau Magu amebadilika kiasi kwamba kwenye mikutano yake anachanganya wabunge wa vyama vya upinzani ...vile ndio kiongozi wa nchi anatakiwa awe! aendelee hivo na watu watabadili muelekeo wao!
Mara Paaaap! nawewe tukikuita una wivu , husda na roho mbaya TUTAKOSEA! mwacheni magu afanye kazi zake! kila zama na kitabu chake! na kila uongozi na style zake mwacheni azindue zindue hata vilivokwishazinduliwa mradi anatimiza wajibu wake! acha husda roho mbaya na chuki! TOA BORITI JICHONI...
Ha ha ha ha Muosha huoshwa ! yamekukuta yepi shingakwetu! ulokuwa ukishinda humu kumsema Dau vibaya! kila majina ulimwita ! firauni hili na lile! na kumsifia huyu huyu leo unamwita ana makaburi yalofukiwa! YEPI YAMEKUKUTA SHINYANGA KWETU na genge lako!!!
Vijana wa Tanzania acheni kuangalia huyu ana nini yule ana nini! tumieni ubongo wenu kuwa wajasiriamali! hawa lazima walianza chini mpaka wakafika hapa!
Tanzania ni nchi ilobarikiwa na rasilimali nyingi sana tumieni rasilimali zenu mtafanikiwa!
Hata alipoona jina la Tido Muhando, Charles, Ivona Kamuntu, Suzan na wengine pia aliwakosesha kazi, tena kibaya zaidi akawapa kazi za utawala wa juu... mna matatizo sana ndugu zetu wa upande wa kushoto (Shimali). Mlilalamika sana kuhusu Dau na udini pale NSSF mkafanya mpaka na statistics kujua...
Chige umeongea kila kitu,
Kwa kuongeza Naiomba Serikali itilie mkazo kama inavotilia mkazo katika kuhakikisha kila Bank inajiunga katika systems ambazo zinasaidia nchi kama ya juzi juzi Tanzania Revenue Collection System.
Serikali itilie mkazo kila Bank kutumia "CREDIT BUREAUS" ili kuepuka...
Kwa hiyo na akwilina alikuwa jambazi? au tuseme alikuwa kwenye maandamano! ninyi chuki na waislam itawamaliza! Mwenye ez Mungu anakuona !!! HasbunaLLAhu waniimalwakiil
Ahsante kwa bandiko hili, ni kweli usemayo! na kwa kuongeza, WAISLAM WENGI WA TANZANIA NA WALIO NJE , NARUDIA ...NA WALIO NJE AMBAO NI WATANZANIA wanaona kama Mange amewasemea na ukiangalia mitandao mingi comment ni Duaa za kumuombea manusra Mange! japo ana lugha kali lakini wameona kama...
Yaani, Kama hiki kinachojibu hii IQ ndio kizazi kijacho TAnzania inaelekea Shimoni!
1. Watu wana papara, hawaangalii mambo vizuri ! huko mbele watakuwaje
2. Wamepewa majibu tafauti , wanashindwa hata kumsoma mtoa mada anavoruka jibu sahihi! maana jibu sahihi lililotolewa hajaligusa kwa hapana...
Achana na Waislam wewe , nani asojua Bakwata imewekwa KUWADUMAZA NA KUWADIDIMIZA WAISLAM, na ndio maana wanaochaguliwa wote wapo kama alhadi.. kwa taarifa yako Mange amewakosha waislam walio wengi wasopenda dhulma inayofanya na Bakwata! PERIOD!!!!
Jibu ni 16, Kimtu kimevaa Filimbi huko juu na chini hana Filimbi , KImtu 3, Viatu 10 na filimbi 2 kwa sababu filimbi hapo ipo moja tu na juu filimbi zipo mbili.
Mh! Nadhani mheshimiwa Judge alitakiwa aone picha kama hizi na agundue kuwa marehemu alimtengeneza lulu kuwa hivi alivo leo! nadhani Karma imefanya kazi yake! nyie wanaume muache kuviharibu vitoto vya watu pia!
South Africa hawataki kusikia kitu kinaitwa pesa ya kigeni kila kitu wao ni pesa ya kwao! Kitu ambacho naweza kusema hapa wakisema itumike Shilling, Je pesa ile haitafluctuate ? leo unaambiwa service hii sh 1,000 kesho unaambiwa 1,200 nk ila nampungeza Rais kwa hili
NAomba nikusahihishe, kuuliza ni kujua, na inaweza kuwa faida kwa watu wengi, watu wamejibu vizuri sana na ameelewa, wakati mwenine hatutakiwi kuwa wakali tuwaelekeze wenzetu wanaotaka kuujua Usilam vizuri ili waelelewe , NAJIVUNIA KUWA MUSILAM
Hivi huwa mnaruhusu kitabu chenye maneno ya Mungu kubadilishwa namna hii? Kwahiyo mtuambie Mstari wa ngapi, kwenye Biblia neno la Mungu litabadilika ili tuanze kukariri mapema!
Hivi ninyi watani zangu WASUKUMA! mbona kiswahili kinawapa shida namna hii? muwe mnaongea kiswahili siku moja moja mkiwa majumbani sio kilugha tu!
Eti walimupiga,.....kumukuta...
Sielewi nchi inapokwenda! kweli unatekeketeza kiumbe hai kwa moto kingali hai?? Ametakasika Mwenye ez Mungu alompa Binadamu uhai! akampa ufalme wa kuongoza na akawapa hikma wengine akawanyima wengine! Hao watu na wajivike viatu vya hawa vifaranga ndio ingekuwa wao wanateketezwa kwa motot...
Jibu ni 3, yaani hii test nzuri sana kwa vijana wa kizazi cha leo wasioweza kupembua mambo na kuwa makini katika kurudia rudia swali ili upate kuelewa.
Mimi wa zamani nilosoma enzi za nyerere nimerusia rudia mara mbili mbili kuangalia na kugundua.
Kuna sehemu zimezibwa kwenye kikombe namba 4,5...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.