Lakini tukumbuke kuwa yote hii ni mipango ya kambi ya CCM kuvuruga upinzani kwa sababu Mbatia ni CCM ila anavuruga NCCR-Mageuzi tu tokea lini kura za siri zikapigwa kwa kunyoosha vidole kama sio kutafuta ushindi kwa lazima kwa sababu watu wataona aibu kutompigia,na mwisho wa siku kafanikiwa...
Jamani hili jambo limenikera sana na amewateua hao mabalozi kiurafiki kwa sababu wote ni CCM na wote waliangushwa kwenye kinyang'anyiro cha ubunge mwaka 2010 kwani si mnakumbuka hata Basil Mramba pamoja na kashfa zote na kesi ya ufisadi hata kabla haijaisha akampa awe balozi wa Tanzania nchini...
Hata mimi kashaniboa halafu kuna wajinga wenzake wanamsupport kama anafeel sex amwambie dada yake,na sitaki tena mtu amshauri mi ndo nimefunga mjadala.
Siasa ni mchezo mchafu ambao kila nikifikiria naumia sana moyoni kama leo asubuhi tumesikia kwenye vyombo vya habari kuwa kiongozi wa nchi yetu amewateua wale waliokuwa mawaziri ambao walishindwa kwenye ubunge mwaka 2010 kama vile Dk.Batilda Buriani,Philip Marmo,Deodoras Kamala na wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.