Kama bado Upo interested kwenda kufanya kazi abroad,nenda Mabibo makutano Kuna jengo linaitwa Georgious house ni first floor wanapeleka watu Qatar kwa nafasi za cleaner
Mpk sasa wamepeleka watu zaidi ya 60 kwa mwezi December na January....gharama zao ni makubaliano ya kuwalipa ukishaingia...
Skudu kajivunja....kaenda nje,Lomalisa kaenda nje,ili iweje sasa?
Mkude na Maxi hata sub hawakuwepo kabisa......next time kama hawayataki haya mashindano wasipeleke timu kabisa
Kwenda uarabuni bila kulipia gharama,hii njia wakala anakusanya watu wa kutosha kwa muda mrefu zaidi ili akiwapeleka wote kwa pamoja hata commission yake inakuwa kubwa,tofauti na akipeleka watu wachache wachache
Kwahyo ili wakala ashawishike kukupeleka kwa haraka ni Bora ulipie gharama anayohitaji
Kuna Agent yupo Tabata Kimanga anaitwa SAJMAS yeye ana kazi za security,House keeping na Gardeners nchini Qatar Kwa mwanamke uwe na USD 150 na mwanaume uwe na USD 600...
There is no free Lunch in Africa,
You either take risk or stay low and struggle in your country
We're not interested in winning the league,we as Gunners wants to win all the games and in the end of the season they can decide who they'll give the EPL Title
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.