mnafiki tu ww ishia huko, umesahau issue ya madaktari nusura ikutoe kwenye chama! umepigwa mkwara na wanakuangalia ukirudia kupayuka payuka wana kupiga chini ndio maana unajitia kujenga hoja ya kuwa mawaziri watano na sio waziri mkuu, sasa kama ww mbunge unauwezo gani wa kuwangoa hao mawaziri...
nyie watu hivi mbona mnapenda kulalamika? shule zote alizozitaja zilijengwa na wakristo na serikali ikazichukua na sasa zimewashindwa wanazirudisha kwa wakristo, sasa basi kama shule iligengwa na kanisa na wakaweka kanisa lao uliteka serikali ijenge ibomoe kanisa au ijenge msikiti, waisilamu mna...
sasa unafikiri angemteua nani kwa mkoa wa mbeya? wananchi ndio wabunge waliowachagua na jk anachagua mule nyie wananchi mliowachagua, mulugo anaziba nafasi ya lucas siame jamani ambae alikuwa waziri na alishindwa uchaguzi na chadema na ndio maana akina gideon cheyo wa ileje alikaa muda mwingi...
hao TISS unaowataja ndio walimpigia simu akiwa iringa na alikuwa anaelekea mbeya kwa hiyo walishamchunguza na wakaona anawafaa, na isitoshe jamani uwaziri unagaiwa kulingana na mikoa! ndio maana mwakyusa alidropiwa akaingia mwakyembe na mulugo aliingia baada ya yule mbunge wa mbozi aliekuwa...
jamani ni mtoto wa mkulima na alikuwa hana uwezo wa kwenda private school ndio maana akakariri yaani alipo maliza darasa la saba 1988 akakarudi darasa la saba mwaka uliofuata shule nyingine ndio akafaulu kwenda mbeya day hostel. angalia msingi kasoma shule mbili
serikali ni nani? umetumwa? hata chadema wakiingia madarakani wafanyiwe hivyo hivyo maana vitu vikienda kwa uwazi na usawa nani atatoa hizo nyaraka za serikali, jaribu kuthink outside the box
mmj rudi bongo utusaidie jamani. nimecheka sana hii topic yako umeturudisha nyuma ambako watanzania wengi walishasahau lol tanzania yangu viongozi wanashindwa kufikiri na kufanya research kabla hawajafanya maamuzi wanayoyaita magumu?
ndio wanamtumia kwani ulikuwa hujui, juzi eti kaarikwa na kanisa la pentekoste kigoma kaenda kwenye harambee, what they need is your money! hata akina beno malisa wamempigia magoti na kuingia kwenye kambi yao ni pesa tu, tena kampa hadi gari vx mpya, hata mimi ningekusifia kila kukicha
hahahaaa ndio maana population yao nyingi imeenda shule hivyo hivyo kwa kulazimisha, na wengine wamebaki kuwa vibaka na madereva na wauza magenge (hawakulazimisha na wakawaacha intellingent people tu ambao ni wachache akina malaria sugu)
ww ni great thinker kweli? i doubt maana hufanyi research, NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK, kasome masharti ya kujiunga na oic na uendeshaji wa mahakama ya kadhi na kujiunga na vatican then uje uongee hapa. hivi ni kitu gani kinawashinda kujiunga huko through bakwata? hamuitaki bakwata anzisheni...
mwe akili zenu ziko hivyo hivyo mgando hazibadiliki, ebu tuangalie mfumo wa ufundishaji akuanzia madrasa na sunday school hapo ndio utakapujua kwa nini tupo tofauti kwenye kufikiri!!
ccm mnakazi kweli kurudisha imani kwa wananchi, dr tupe na za kuinua uchumi ni makampuni gani yarikwapua hizo pesa, maana muuza sura alijitamba tumetenga trilion 1 kwa ajiri ya mtikisiko wa uchumi na makampuni yalioadhirika yalikuwa mengi ya pamba na watu wakaanzisha makampuni feki hapo hapo...
ww mbona lowasa kakunyamazisha!! ulikuwa mbele mafisadi watoke mafisadi watoke na alipotoka rostam ukaja na mbwembwe na watu wakakupongeza, but wea are you now? sasa lowasa kaja juu na ww ndio unatakiwa kuchunguzwa kwa maneno ya mwenyekiti! na ndio maana umekaa kimya endelea na fyok fyoko zako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.