MJUMBE WA BARAZA KUU LA TAIFA CUF, ABDUL KAMBAYA AZINDUA RASMI PROGRAMU YA UPANDISHAJI WA BENDERA KATIKA WILAYA YA KINONDONI
Leo tarehe 4 Julai, 2021 Mjumbe wa Baraza Kuu la Taifa CUF, Abdul Kambaya amezindua rasmi programu ya upandishaji wa bendera katika wilaya ya kinondoni.
Programu hiyo...
MALUMBANO YA HOJA KESHO ALHAMISI
BINGWA WA KUJENGA HOJA NCHINI PIA NI MJUMBE WA BARAZA KUU LA CUF TAIFA, MHE. ABDUL KAMBAYA ATAKUWA KATIKA KIPINDI CHA
MALUMBANO YA HOJA
KATIKA TELEVISION YA ITV
SAA 3:00 USIKU
KESHO SIKU YA ALHAMIS
USIKOSE KUFATILIA
CUF-CHAMA CHA WANANCHI
WILAYA YA KINONDONI
Ndugu, Mwanachama wa CUF, wilaya ya kinondoni unaombwa kuhudhuria MKUTANO MKUBWA WA NDANI utakaofanyika katika ofisi ya wilaya ya kinondoni.
Siku ya J'pili ya Tar 4/7/2021
Muda Saa 5:00 Asubuhi
Mgeni Rasmi wa mkutano huo ni mjumbe wa baraza kuu Mhe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.