Search results

  1. A

    Hata mkague mabegi hamtakuta tena ARV’s, kuna sindano siku hizi

    Maendeleo ya tiba ni kuwa unaweza kuchomwa sindano itakayo dhibiti wadudu humo mwilini na huhitaji kubugia yale madonge kila siku. Taarifa hii imetolewa rasmi siku ya lile gonjwa 01/12/ ya kila mwaka. Maendeleo haya yako kule wanakotutumia ARV’s kwa msaada.
  2. A

    Once upon the time I had a friend

    He's one of my best friends, I've been closer to him than I have to anyone else He knows everything about me EVERYTHING I always felt like i could rely on him When everything and everyone else failed me he was always there... until now. Now he has decided to end our friendship. I do respect...
  3. A

    Hitaji la ajira za kazi za ndani kwa watu wenye miaka 50+ linaongezeka

    Kuna kundi kubwa la watu wazima wanaotafuta kazi za ndani. Wengine ni kutokana na changamoto za maisha, kuachwa na mume, kufiwa, kupoteza ulivyonavyo na kubidi kuanza upya, haya yote si sababu ya kuanzisha uzi huu. Watu wazima wengi wanajielewa, kazi umamwelekezi mara moja tu na huwa hawapendi...
  4. A

    Raha za kuishi Dar es Salaam

    Dar es Salaam ni mji wenye mchanganyiko wa makabila, kutokana na shughuli za kibiashara za mji huu na mengineyo. Dar unaweza kupata chakula cha aina yeyote unachokijua duniani. Kuna migahawa ya Wanigeria, huko konono wa kukaanga ni deli-case. Kuna migahawa ya watu wa Kusini, huko samaki...
  5. A

    Hii ni mboga iliyopikwa na mke wa ndoa kwa mume wake

    Kuna watu wanaishi maisha magumu duniani.
  6. A

    Kuwe na Wizara ya nyumba na makazi ili kuboresha makazi ya watu

    Wizara ishughulike na ujenzi wa majengo ya watu kuishi. Nyumba za ghorofa za kuchukua familia 50 kwenye block moja. Wakaxi wanakua wapangaji wa wizara na kodi inayokusanywa inasaidia kujenga nyumba nyingine. Wanaotaka kujenga nyumba zao waombe kibali, kigezo cha kupata kibali ni kuonyesha...
  7. A

    Mh! Aunty amekua auntiii

    Baba Jayrose na mama Jayrose waliona 2005. Wakati huo mama Jayrose amemaliza form six lakini changamoto za maisha zilikua nyingi na alikubali kuolewa. Baba Jayrose ni muajiriwa wa kampuni ya Umma. Baada ya mama Jayrose kupata watoto wawili, waliamua aende chuoni. Pale kazini kwa Baba...
  8. A

    Nyumba zenye choo cha shimo, choo cha nje zimepitwa na wakati

    Unaishi kwenye nyumba choo kiko nje, usiku wa mvua kubwa ukitaka kwenda kujisaidia ni lazima maji ya mvua yaguse ngozi. Vyoo vingine havina mapaa, ukiwa unajisaidia mvua haikwepeki. Asubuhi unakwenda kuoga na taulo, wanaopita njia wanajua ndiyo unaoga, na taulo lako kila mtu analijua rangi...
  9. A

    Aliyeelewa kibonzo cha Kipanya atusaidie

    Uelewa wangu mdogo unaniambia ujinga ndiyo unatuongoza, ndiyo umeshika remote control.
  10. A

    South Africa has many historic memories

    Once they had a President who was a Prisoner and now the have a Prisoner who was a President.
  11. A

    Aboriginals ndiyo wenye asili ya Australia

    Kule Afrika ya Kusini wasingepigana na kuwashinda Wazungu sasa hivi wangekuwa wameiteka kama walivyoiteka Australia.
  12. A

    Jinsi ilivyokuwa ibada ya kumuaga TB Joshua

    Prophet T.B. Joshua Lying in State. Earlier, there was a procession conveying the body of God’s servant from The SCOAN Prayer Mountain to the church auditorium at The SCOAN, Ikotun-Egbe, Lagos, Nigeria. Peaceful indeed is the rest of a man who preached and acted nothing but love, humility...
  13. A

    Historia ya handbags 👜

    Today’s designer handbags have a long and storied history. Early Europeans used handbags just as we do today—to store personal belongings needed for the day. Clothing had no pockets until the 17th century, so men also carried handbags for things like coins, alms, and relics. Worn attached to...
  14. A

    Matajiri wa Afrika wanapenda kuvaa nguo za label ya gharama tofauti na Matajiri Wazungu

    Mzee Bozi Boziana amevaa track suit ya Christian Dior lakini Bill Gate, Mark Zuckerbergs hata Jeff wa Amazon huvaa nguo za kawaida sana.
  15. A

    Hivi tunaweza kufungua kesi ya madai kwa Wazungu kutokana na nyara walizochukua Afrika?

    Wakati wa Ukoloni Wazungu waliwinda wanyama na wakisafurisha nyara bila ridhaa yetu. Pichani ni urembo wa vichwa vya wanyama na ngozi, haya yalikua ni mapambo ya kawaida kwa Wazungu matajiri. Wanasheria wanaweza kufungua kesi ya madai?
Back
Top Bottom