Search results

  1. A

    Hata mkague mabegi hamtakuta tena ARV’s, kuna sindano siku hizi

    Jirani yangu aliposikia hii habari alisema “huko ndiyo kupona kwenyewe, mara tu mtasikia kuna sindano inayomaliza wadudu wote”.
  2. A

    Hata mkague mabegi hamtakuta tena ARV’s, kuna sindano siku hizi

    Maendeleo ya tiba ni kuwa unaweza kuchomwa sindano itakayo dhibiti wadudu humo mwilini na huhitaji kubugia yale madonge kila siku. Taarifa hii imetolewa rasmi siku ya lile gonjwa 01/12/ ya kila mwaka. Maendeleo haya yako kule wanakotutumia ARV’s kwa msaada.
  3. A

    Akiupiga mwingi

    Zile ambazo ni mrefu kuliko lile jiwe!
  4. A

    Akiupiga mwingi

  5. A

    Bunge lasitisha Shughuli zake ili kujadili bei ndogo ya Mahindi nchini

    Nchi za SADC ni walaji wakuu wa mahindi. Kutokana na Globalisation wakazi wengi wa nchi hizi wanaishi Ulaya, Marekani na Australia. Hawa ni wateja wazuri wa unga wa mahindi. Kampuni ya Iwisa ya South Africa imefanikiwa kupeleka unga wa Iwisa nchi zote nilizotaja hapoejuu. Waganda pia...
  6. A

    Hitaji la ajira za kazi za ndani kwa watu wenye miaka 50+ linaongezeka

    Ndiyo na unsmpatisunampatia uniforms na apron akiwa anapika.
  7. A

    Kujenga na kumiliki nyumba ya kuishi ni muhimu kwa watu wa kipato cha chini?

    Hitaji la nyumba bora za kuishi Tanzania ni kubwa mno, si mijini wala vijijini. Kutokana na hitaji kuwa kubwa, kodi za nyumba hasa mijini ni kubwa sana. Kijana anae anza maisha anatumia 3/4 ya kipato chake katika makazi, hii ni pamoja na kodi, umeme na maji. Vijana wengi wanawaza kujenga ili...
  8. A

    Hitaji la ajira za kazi za ndani kwa watu wenye miaka 50+ linaongezeka

    Maisha yetu yote tulikua na baba mtu mzima ndiye alifanya kazi za ndani. Alikua ni wa J5-Ijumaa, saa mbili mpaka saa kumi.
  9. A

    Hitaji la ajira za kazi za ndani kwa watu wenye miaka 50+ linaongezeka

    Hii African Physics ni kikwazo katika maendeleo yetu.
  10. A

    Once upon the time I had a friend

    Thank you dear, it’s time to open a new page.
  11. A

    Once upon the time I had a friend

    He was once a special person to me and now I feel like a reject in his eyes. I would have been nice if he had told me the reason.
  12. A

    Once upon the time I had a friend

    What do you want to know about me?
  13. A

    Once upon the time I had a friend

    He doesn’t even pick my calls anymore.
  14. A

    Once upon the time I had a friend

    He never told me the reason.
  15. A

    Once upon the time I had a friend

    He's one of my best friends, I've been closer to him than I have to anyone else He knows everything about me EVERYTHING I always felt like i could rely on him When everything and everyone else failed me he was always there... until now. Now he has decided to end our friendship. I do respect...
  16. A

    Hitaji la ajira za kazi za ndani kwa watu wenye miaka 50+ linaongezeka

    Kuna kundi kubwa la watu wazima wanaotafuta kazi za ndani. Wengine ni kutokana na changamoto za maisha, kuachwa na mume, kufiwa, kupoteza ulivyonavyo na kubidi kuanza upya, haya yote si sababu ya kuanzisha uzi huu. Watu wazima wengi wanajielewa, kazi umamwelekezi mara moja tu na huwa hawapendi...
  17. A

    Hongera Serikali ya CCM kwa ujenzi wa barabara zote za Mwananyamala, kura zetu mtazipata 2025

    Baada ya barabara agawe na khanga za chama kila mtaa wa Mwananyamala
Back
Top Bottom