Ndugu wana JF pole na majukumu yenu ya Kila siku.
Nina Jambo naomba kufahamishwa kwa wale wa taalam , unapoanza kusoma cours yeyote inayo husu Uxereva mathalani Advanced driving grade two (V.I.P), Utaambia kabla hujaanza huwa panakuwa na test.
Naomba kujua hiyo test inahusu Nini haswa? Na...
Kwa yeyote ambae na mawasiliano na mwalimu wa vyuo vya ufundi vifutavyo anisaidie
1: veta Chang'ombe
2: Veta pwani
3: Veta manyara
4: veta mtwara
Maana sijajibiwa kwa njia ya email na simu zao hazipokelewi.
Habari naomba kufahamishwa juu ya course ya Laboratory assistant inayotolewa na vyuo vya ufundi (VETA) ni mahala gani watu wanaosoma hi kozi hii Wanahitajika.
Pia sifa za watu wanaosoma kozi hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.