Habari wakuu!
Mwenyezi-MUNGU wa mbinguni awabariki.
Kama kichwa Cha habari kinavyosomeka ,Wezi wanakera sana . Mwizi apigwe. Mwizi afungwe. Mwizi achomwe moto .
Mwizi anaweza kukuibia Kitu wakati ambao unakihitaji sana na kukwamisha mipango mingi muhimu.
Kuna wezi wamenikera, wameniibia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.