M'beba maono huchaguliwa kiasili na Mwenyezi Mungu. M'beba maoni huchaguliwa kwa kura halali na watu . Mwizi wa kura hajabeba chochote,yupo yupo tu na hajui anaongoza nini . Lissu ni M'beba maono.
Hao Wayahudi walitutangulia tu kuzijua kanuni za Asili zinazoendesha ulimwengu( Natural law ) , halafu wakajitangaza kuwa wao ni wa juu , nguvu ya duniani.
Ila Mwezi ni mfano ambao huwa unasimama kueleza Roho .
Sira 43:7 inasema "Kutoka Kwa Mwezi ni dalili ya sikukuu" . Lakini pia hata katika...
Mlikuwa mnakosea kumpa left footer mzigo wa Babu huko nyuma . Mguu wa kushoto ni mguu mtakatifu . Mzigo wa Babu muwe mnawapa wanaotumia mguu wa kulia kucheza mpira .
Kila sifa njema iliyopo duniani inathibitisha kuwa Mungu yupo . Sifa zote za uhai zinathibitisha Mungu yupo . Sifa zote za matunda na vyakula vitokanavyo na mimea zinathibitisha Mungu yupo . . Kila sifa njema.
Kama umepotea , unahitaji kumtafuta Mungu . Mungu inatakiwa umthibitishe wewe mwenyewe . Mpokee Mungu atimize kusudi lake kwako. Mdhihirishe Mungu kwa matendo yake kulingana na kuumbwa kwako kwa sura na mfano wa Mungu .
Binadamu mwenzako anapomthibitisha Mungu wakati mwingine huwezi kumwelewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.