Na je kuna limitation ya muda toka umemaliza elimu ya sekondari maana kwa sasa mimi nina mwaka wa 9 na bado nina ndoto ya kurudia mtihani wa kidato cha nne mwakani!
Wana Jf habari za kazi na mihangaiko ya hapa na pale,
Nilikuwa napenda kufahamu sababu zinazopelekea baadhi ya watoto wakachelewa kutambaa au wakawahi kutambaa katika kipindi cha ndani ya mwaka mmoja mpaka miwili.
Wapendwa wanaJf habari zenu, poleni na majukumu ya hapa na pale na kazi katika ujenzi wa taifa.
Napenda kuja kwenu kuwaomba ushauri kuhusu suala ambalo nimeona nije niombe ushauri kwenu
Nimebahatika kuzaa na binti mmoja ambaye katika kuwa kama wapenzi ilitokea akabeba ujauzito wa nyumban kwao...
Nimeota tupo kwenye mashua tunavuka maji mara ghafla kukatokea dhoruba kubwa cjui ni baharn au mtoni lakn tuliweza kufanikiwa kuvuka na kifika ng'ambo salama ckumbuki kama kwenye ndoto hyo nilikuwa nahofu wakat wa dhoruba hiyo.
Napenda kufahamu kuhusu utaratibu wa kurudia mtihani wa kidato cha nne maana naamini humu walimu wapo wanaohusika na wanaorudia mitihani hyo, je wanaorudia mtihani huwa nao wanakuwa na continious assesment(CA) pili wao mitihani yao inasahihishwa na kupewa alama kwa utaratibu upi?
Tatu na mwisho...
Usiku wa kuamkia leo nimeota tuko watu wawili tuna vua samaki mahali sio mtoni, bwawani,ziwani au baharini na tukapata samaki mchanganyiko kila mmoja wa kwake aina ya samaki niliyoitambua ni sato, mara kuna gari nadhani la police likaja nikaondoka nalo ila zile samaki niliwaachia nyumbani kama...
Wala cjakataa kuwa m n mjinga ndo maana nikaamua kusema kile nachofahamu hapo kuna kitu nimejifunza ambacho nilkuwa cfahamu, usijerudia kumuita mtu mpumbavu kama hujamfundisha, huyo unaemuita mpumbavu akifundshika hawez kuwa mpumbv
haya mambo kipindi cha awamu ya tano yalisahauliwa kabisa na tulikuwa tunaangalia inshu zingne na mambo yalikuwa yanaenda vizuri japo kila mtu huwa anaangalia manufaa yake binafsi au kikundi cha watu baadhi huwezi kumfurahisha kila mwanadamu hata Yesu Kristo alikuja kufa kwa ajili ya wenye...
Pyramid zilijengwa na waafrika au walijenga waisraeli?
Pyramid zilijengwa na waisrael wakati walipokuwa utumwani Misri miaka miaka mingi iliyopita BC mi ndo nafahamu hvyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.