Achana nae na lazima umdokezee mme wako juu la hilo, bora urafikiwao uvunjike kulikoni wewe kuingia matatani, pindipo akijua mme wako bila ya kumwambia wewe.
Amani juu yenu.Jamani mimi nahitaji kueleweshwa zaidi kwani haya mambo ya siasa sina ujuzi nayo. Huyu Hamadi Rashid wa aliekuwa Mbunge wa Kavu baada ya kuvuliwa GAMBA na CUF wenzake, nimeonasehemu ya kuwa anataka kuunda chama cha kwake sasa huu sio UROHO ama UCHU wa madaraka? Nielewesheni...
Kuna siku nilisoma ujumbe wa mwana JF na katika maelezo yake aligusia suala zima la kukaa uchi ama kubadilisha nguo akiwa uchi mbele ya macho ya mtoto. Kwa ushauri wangu ni kuwa suala hilo nimewahi kupitia katika vitabu vya kidini (auislamu) ni kuwa Mtume wetu Muhammad (S.A.W). amekataza kufanya...
Mopaozi, huyo sio mtoto kwani kwa komenti za wengine kumbe ana umri kama wangu.
Kwani hata wengine hutokea mashine zao zikawa ndogo il-halli wao ukiwaona mijibaba ya miraba mine, na kinyume chake wengine unaweza ukasema nikikohoa si kitatoka kumbe nenda uone kilichomtoa kanga manyoya katika...
Nauliza hivi: Kwani tatizo liko wapi hadi saasa la kuundwa kwa Mahkama ya Kadhi, kule Znz wenzetu wanayo na mambo yao yanakwenda vyema kwa utatuzi wa masuala ya ndoa/talaka pamoja na mirathi kwa watu wao. Suala kwa mara nyengine huku DSM na Tanganyika tunashinwa ama tunakwama wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.