Search results

  1. UVIKO

    Naombeni kufafanuliwa Tofauti ya Jaji na Wakili

    Ninachojua kila Wakili lazima awe Mwanasheria na Huyu Jaji anasoma Elimu gani ya ziada ambayo inamtofautisha na Wakili ambapo nahisi nae Jaji Sheria nayo kasomea Natanguliza shukrani kuuliza siyo ujinga.
  2. UVIKO

    Hii ya kusema Rais Samia katoa kiasi fulani sio sawa

    Inchi hii ina watu walioajiriwa na ni wasomi Sasa kauli zenu Mimi siwaelewi ( Kila mmoja akisimama kuongea anasema raisi Katoa pesa Kwa AJILI ya SHUGULI FRANI ,naomba niwakosoe 1.tumie kauli serikali imetoa Kwa 2.kama ikitokea katika ziara raisi akatoa pesa hapo Sasa semeni raisi katoa
  3. UVIKO

    Wrong citation ni nini?(Ni Neno la kisheria kwenye masuala ya kiushahidi)

    Kwa kuwa ni mjadala mpana ndani ya mahakama kuhusiana na kesi inayomkabili FEM na wenzake. Mimi siyo mwanasheria ila naomba mtufafanulie kwa kuwa humu najua kuna wabobezi WA Sheria, asanteeni.
  4. UVIKO

    Mke anahitajika kwa muda mrefu

    Sifa Zangu 1.Ni mzawa halisi wa kanda ya ziwa Ila Kwa Sasa sikai huko 2.Nina miaka 29 3.sina wazazi wote 2. 4.mm Ni mrefu na ni mwili mkubwa kawaida Ila mm siyo mwemba. 5.nina Mtoto mmoja WA kike ana miaka 2 6.Dini yangu ni mkiristo SIFA ZA MKE NINAEMHITAJI. 1.Awe mcha Mungu 2.awe na Umbo la...
  5. UVIKO

    Asilimia 98% bado kuna watu wanawaamini binadamu

    Wakuu habari za mda huu natumaini tupo salama Sana katika kutekeleza majukumu um ya hapa na pale.Dunia ni duara ina mengi tusioyajua kuhusu Sisi viumbe ambao ni binadamu .Binadamu anaishi kulingana na mazingira yafuatayo yametokea Kwa sababu bado watu walio wengi wanawamini kuwa binadamu ni...
  6. UVIKO

    Bodi ya Mikopo mnalalamikiwa kwa haya

    Wakuu poleni na MAJUKUMU YA hapa na pale , Moja Kwa Moja niende kwenye mada,Story yenyewe IPO hivi Mimi ni mjasiliamari Mambo 5 ninayokutana nayo kitaa ni kama haya 1. Bodi ya mikopo upande wa afya hamjawapa mikopo mfano mhimbili 2. Mnatoa mikopo Kwa ubaguzi mfano watu wanachukua fact Moja...
  7. UVIKO

    Wakazi wa Singida sehemu ipi ni nzuri ni ipi?

    Wakuu natumaini mpo salama Sana na poleni Kwa majukum mbalimbali nilikuwa naomba nijuzwe maeneo mazuli ya Kula na kupumzika, nitakuepo Kwa MDA WA siku mbili .vyumba bei iwe Kati ya tsh 10-30
  8. UVIKO

    Kuwepo na utamaduni wa ukaguzi kila hatua ya ujenzi katika miladi yote ya Serikali

    Wakuu,,natumaini tupo oky , Naomba kushauli Jambo ,kumekuwa na dhana ya viongozi wa SERIKALI kukataa kufungua baadhi ya miradi hasa majengo Kwa sababu wanazozijua wao hasa gharama ni kubwa, tujiulize. 1.kwa mini kusiwepo na utaratibu wa UKAGUZI KILA baada ya HATUA ya ujenzi 2.wewe unaepaswa...
Back
Top Bottom