Ingewezekana,ila haiwezekani,kwa kuwa hata waislam wenyewe kwa wenyewe hawaaminiani,hawapendani,ndiyo maana wakishalitibua huko jangwani ni mbio kukimbilia USA,UK,FRANCE, au nchi nyingine ya makafiri.
Aisee,sijawahi kuwa na imani na kiongozi yeyote wa serikali, ila wewe unanipa matumaini,kuwa kuna wachache wema waliobaki, Mungu wa mbinguni akupe uzima Mama,akuongezee hekima na akukomaze katika Uthubutu, inaonyesha huna makandokando ndiyo maana una ujasiri wa kusimama mbele ya wana JF wote na...
Wewe hujaguswa na msiba huu, na umeshahitimisha kuwa marehemu alipigana na wenzake au alipata ajali, mimi wakati nasoma tena nikiwa mdogo kabisa kuna mwalimu wa hesabu liyeitwa Marandu,aliwahi kuniambia kabisa kuwa ananichukia bila sababu yoyote, nilipomweleza mzazi wangu akanihamisha shule...
Hivi vipombe vya buku buku ni hatari kwa kweli,na serikali inajua,waziri wa afya ni mwajiriwa wa serikali,kuna katibu wa wizara,naye ni mtaalamu wa afya,kuna mganga mkuu,wote hawa wanajua tatizo lilipo,na wana access na serikali kuu,kwa nini wasiishauri serikali izipige marufuku bidhaa hizo...
Hizo zote ni addiction mkuu,kama tu mihadarati mingine,ukimuuliza teja yeyote kama angependa kuendelea kutumia madawa ya kulevya atakuambia jinsi anavyotamani aachane nayo kabisa,ila inamuwia vigumu mno kuacha,mtu ambaye tayari ni addicted anahitaji zaidi msaada kutoka kwa jamii kuliko kumwombea...
Haiti haipo Afrika,ipo America huko,kwa nini nchi za amerika zisimsaidie mwenzao hadi wewe black butt uende huko eti ukatoe msaada? Mmeshindwa kumsaidia kongo hapo si ujinga tu kwenda huko?
Na hiyo miradi huwa inamfaidisha nani? Maana pale Selian mtu wa kima cha chini hawezi kumudu hata gharama ya kujitibu mafua, nilishaapa, siji kuchangia mradi wowote wa kanisa, labda wa Sunday school.
Hii ni kero kubwa sana, specificaly hapa Arusha, eneo la Summit centre, kuna zebra inayoruhusu watu kuvuka kutokea summit kwenda kanisa la calvary, hapo watu wa hiace wamegeuza ndiyo parking yao, na madereva wa hiace Arusha wengi wao ni walevi sugu, cha kushangaza unakuta hiace imesimama hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.