Search results

  1. Jimmy patrick

    Dereva natafuta kazi

    Habari ndugu zangu! wapambanaji na watafutaji wenzangu..kweli kazi ni changamoto sana kupata..na hasa kama auna connection utasota sana..itokee tu mkono wa mungu ukuguse! jina langu naitwa James Patrick.nina miaka 26 na naishi jijini dar es salaam..nimekuja tena mbele yenu wana jamii...
  2. Jimmy patrick

    Mimi ni Dereva mwenye uzoefu, natafuta kazi

    Habari waungwana. Naitwa James patrick naishi Dar es salaam, nina miaka 26, natafuta kazi ya udereva Nina uzoefu wa kuendesha ndani na nje ya jiji la Dar, pia nina uzoefu wa kuendesha gari za uber kwa miaka mitatu hvyo basi ninalifahamu vyema jiji la Dar. Sichagui mkoa na wala sichagui ni...
Back
Top Bottom